Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Salamu Mkuu singanojr samahani kama nitakuwa nakusumbua nilikuwa naomba mtiririko kamili (ascending order) wa hawa miungu. Nimepitia hapo nikaona hades ni wa 12 samahan lakn kama nitakuwa nakuchosha katika kuwapangilia.
 
Salute kwako mkuu Hades pamoja na kwamba inakuja baada ya arosto lakini ikija inakuja ya kushiba na kusaza. Shukrani sana mkuu singanojr
 
Hii kitu inakaa mpaka unasahau uliishia wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…