Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Hii story ya illuminati Kuna jamaa yangu aliwahi kunisimulia na kitabu aliniambia kinaitwa demons and angel ambacho kilielezea story nzima ya kuanzishwa kwa illuminati mpka kujiingiza ndani ya freemason..ni humo humo alimopita Athena.

Uko well detailed
 
Aliyesimulia asili ya illuminate ni "the black" ,Athena alikua anasimuliwa
 
Naona Roma anaboa tu siku zinavyokwenda matendo yake esp ya wanawake yananikera sana
 
hii kitu inatupa arosto hatari kabisaa..Sema mimi sijaelewa kuhusu group ya watsap..ukilipia unanunua episode kadhaa au hiyo payment unakua unakaa kwa group kupata post ahead bila ku renew payment??
Unatumiwa mzigo wa nguvu unajipimia tu mwenyewe kusoma. Tupo sehemu ya 300[emoji28] kwa buku 2 tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…