Pauli mushi
Member
- Nov 30, 2022
- 8
- 0
Daaah singanojr leo vp kak maan sio kwa arost hii unayo2pa mkubwa fany namn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaita mkuu Sana tu🤣🤣Iv Mkuu hadi lini tena
Unatucheka sioMtaita mkuu Sana tu🤣🤣
Sijacheka mtu Mimi but ni hivoooo tuUnatucheka sio
Unafeli sana CEO msaidizi Ernest Fala, na mashavu yako mabayaKaweka no hapo nenda ulipie usipende dezo ipo siku utakutana na shipa gumu
Nendeni wasap acheni uzwazwaUnafeli sana CEO msaidizi Ernest Fala, na mashavu yako mabaya
Wew umekuja kufanya nini ukuNendeni wasap acheni uzwazwa
Duuh ! Umechafukwa mkuu! Yaan furaha yako edna aguswe uroroh tu! Makonki ya kuliwa uroda kama rose na neema wanachemka kwa makadhari ya mfalme pluto, humtakii mema edna!Sasa hiyo sehemu ilete kwanza alafu utaendelea na zingine hata kama iko mbele....alafu schedule yetu ni j4 ,Alhamis na jumamosi... Hades SinganoJr.
Woyoooo! singanojr wetu huyo kaja kutusamilia! "Habari zenyuuuu" (kwa sauti ya babu wa loliondo"Asubuhi saa nne nilikuwa na ubize usio wakawaida
Kuwakumbusha nn mfanyeWew umekuja kufanya nini uku
Hivi huyu ana nini??? Zuzu anatoka akujuako yeye anakuja kutuvuruga eti "lipa" "lipa" wakati kijitu Kiko huku kupakua stori🤣🤣Kuwakumbusha nn mfanye
Tushasikia unachomaanisha. Tulipe!!! Kwa hivyo kama huna jingine fyata mkia. Kama huna contenti nyingine, enda Whatsapp utilize kalio huko. Shenzi!!!Kuwakumbusha nn mfanye
bado dakika kidogo mkuuAsubuhi saa nne nilikuwa na ubize usio wakawaida
Nawakumbusha mwandishi nae anayofamilia hivo msipende kitongaHivi huyu ana nini??? Zuzu anatoka akujuako yeye anakuja kutuvuruga eti "lipa" "lipa" wakati kijitu Kiko huku kupakua stori[emoji1787][emoji1787]
Unahangaika!! Utadhani umetumwa.Nawakumbusha mwandishi nae anayofamilia hivo msipende kitonga