Simulizi ya kipelelezi: Jiji la kamari (gambling city)

Asante mwamba, baada ya Kuona neno MWISHO mi naanzia Mwanzo, sjazoea arosto yan kidogo our late frani aniue
 
Hivi GEREZA LA HAZWA naweza kuisoma wapi yotee? Maana nimeishia ukurasa wa sitini na sita kule Facebook, huku JF naona kuna vipande vinamiss, msaada please
 
Thanks ur Bro.....!!![emoji1545][emoji1545]
........... ulikuwaa Bora wakati wote...[emoji1614]
Najivunia kuwa mmoja wanaosoma
Riwaya zako

~~ Appreciate Bro.....!!![emoji1614][emoji1614]
Shukrani sana, Mungu atupe kheri mkuu [emoji122]

Appreciated
 
Hiii ni Kali na Aina yake Ila gereza la hazwa mmhh pale kuvunja rekodi
Hahahaha ile niliandika kama nimechanganyikiwa.

Moja kati ya andiko ambalo najivunia kuliandika kwa mkono wangu.

Hata kama nitachelewa vipi ila ile simulizi ni lazima nije kuitolea kitabu [emoji996]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…