Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Kutokana na ile ya baridi kali sidhani kama nyoka au mnyama mwingine anaweza kukaa kwenye mazingira yale,labda awe yule mnyama anayekaa kaskazini mwa Canada kule Greenland!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kupanda mlima Kilimanjaro, Hali yake ya hewa, inabadilika mara nyingi kidogo.
Kwa mfano ukianzia Marangu geti hadi Uhuru peak, au Gilmans au Stella Point ni sawa na kutoka Ikweta hadi mzingo wa Aktiki.(Unakatiza Climatic regions kadhaa)
Kwa maana hiyo unavyoanza tu, unaanza na forest(thick forest) huku wanyama kama ngedere, kima, Mbega wapo wakutosha.
 
Mkuu, mlima Kilimanjaro unapandika kipindi chote cha Mwaka, sema bado kuna miezi mizuri.
Binafsi huwa napenda sana mtu apande kuanzia May, June, July, August na September...huwa mvua sio nyingi sana.

Mfano mwaka Jana 2018, mwezi wa 10 na 11...haikuwa mizuri kabisa.
Iliondoka na watu kadhaa, hasa maporter, wakipigwa mvua nyingi, huwa wanapata shida sana.

Sitasahau siku nimepanda kupitia Machame, mvua haikukatika ndani ya siku 2 full sasa unakuta hakuna namna, mnaenda tu.
Kama kuna mvua, ni hatari kuliko upepo.
Bahati nzuri mvua huwa zinanyesha huku chini chini....
Maeneo kama ya Kibo hut au Barafu camp, hayana mvua kabisa kwa sababu ni jangwani.
 
Nashukuru,

hahahahahahah, haya buana.Utalii wa ndani muhimu lakini.Namimi ntaleta mrejesho nikishapanda😀😀😀
 
Khaaaa.....

Kupanda huu mlima sasa inakuwa kama vita vya kagera??

Yani hii shughuli inasababisha nia yako inabadirikabadirika kila wakati. Baada ya simulizi nimefuatilia videos kibao, kila mmoja ana lalamika ingawa tena wanafurahia...nini hiki?

Yani safari ya huu mlima ni jasho, kamasi, mikojo mate...ukifanya mchezo na damu. Yani kqma kusomea ukomandoo....hatari sana.

Safari yote ni roho mkononi kama umepanda helicopter...yani muda wote ni hatari hatari hatari tu. Ukifurahia hatari, ukipanda mzuka hatari, yani hatari mwanzo-mwisho.

Kila mmoja analia kivyake...hivi ni lazima??

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ahsante kwa ufafanuzi.
 
Si lazima lakini ni muhimu.
Na afya sana....
 
Khaa!nikajua na ww ulikua kati ya msafara wa kupanda naye😂😂😂 jaman kuna watu mnahitaji ushauri wa Dk kbs😂😂...

Mkuu hao madaktari wamepungukiwa kazi hadi kunishauri mimi!!! Kweli? Hakika wakimalizana na mimi watarudi kwako wakushauri kuwa mimi client wako sikustahiri ushauri...

Anyway, comment yangu ililenga kuonesha how impressive is HOE's story, kupanda mlima ni jambo moja na kuelezea kwa mtiririko mzuri wa visa na matukio kwa ufanisi ni jambo jingine linalostahiri pongezi za dhati. Kwangu mimi HOE amefanikiwa kunipandisha huo mlima kitaswira. Namuona kama mtu anayeweza kuwa useful kwenye taasisi muhimu za utalii ama hata kuwa msemaji wa taasisi nyeti za serikali. Bahati mbaya watanzania hatujui namna ya kutumiana in a resourceful manner... The only credit we can offer her ni "kugonga like", haitoshi.

Kama hujanielewa bado, basi fikiria tena vizuri ni nani anamuhitaji daktari kwa ushauri.
 
Hahahaha huh u huh 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Tujaribu bwanaaaaa...
Tukishindwa turudi bila kuaga
 


ulichoandika pale na hapa vitu viwil tofauti..kwaheri
 
"... When a woman loves, she loves for real..."

I'm just singing R Kelly song here[emoji41][emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…