Hahaha hahaha hahahaNawaza tu hapa nianze tu kupumua kwa shida sijui utanibeba kunishusha nawaza mengi sana
Ni kweli watu hufa!Hahahhahaa
Na nilivyo muoga na kukufwa si umeona kwenye story ya HOE
Hahahhah huyo ameongea la maana sana hata mkikufwa muache kumbukumbuHahaha hahaha hahaha
Sasa mmoja anasema tusubirie tuzae kwanza... Tukikufwa tuache alama... Yaani ni kukatishana tamaa mwanzo mwisho aki
acha ujinga ww mtu kaleta habari kuwajulisha watu then ww unakimbilia eti ya uongo una uhakika gani kama ni ya uongo?heshimu mawazo ya kila mtu acha ujuaji ndugu sio poa kukatishana tamaaTunathibisha vp mkuu@yani mnadandia tren kwa mbele kuelezea stori za kufikirika ambazo mnataka tuziamini,wakati kiualisia ni chai tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa bwana...Ili aamini sasa kweli umepanda
Ni kweli watu hufa!
Ila mie naamini nitaweza bwana! Hahaha hahaha nawaza tuu kama kulia ni kama kucheka daaahh mie navyojua kulia sasaa
Nyie vipotable mnabebwa juu juu.Hahahhahaha
Hiyo uirithishe kabisa nyumbani sababu hautarudi hahhahaSawa bwana...
Sijui tecno yangu itawaka hukoo
Nyie vipotable mnabebwa juu juu.
Ngoma iko hapa sasa...litaagizwa winch toka Moshi mjini lije kunibeba juu juu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahhah huyo ameongea la maana sana hata mkikufwa muache kumbukumbu
Yaan aliyesema mzae kwanza najiona mm kabisa
Hahaha hahaha hahahaHalafu unalia peke yako hakuna wa kukubembeleza
acha ujinga ww mtu kaleta habari kuwajulisha watu then ww unakimbilia eti ya uongo una uhakika gani kama ni ya uongo?heshimu mawazo ya kila mtu acha ujuaji ndugu sio poa kukatishana tamaa
Hahaha hahaha hahahaHiyo uirithishe kabisa nyumbani sababu hautarudi hahhaha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alama yako mimi eenh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ndo alama yangu!
Hahaha hahaha hahaha
Hapo ndo pagumu aki ....
We acha tu.Hahhahahahah nacheka mm
Hahaha hahaha hahaha
Sasa picha mtapatajee
We acha tu.
2019 NAANZA RASMI DIET
ikifika June, wanaDodoma watakupa mrejesho
Khaaa!!!!....naonekana bonge la mama kumbe nina miaka 23.
Nimechoka mie
Nitajitahidi kupata picha mbili tatu nadhani utajua siongopi, sijadandia treni kwa mbele, stori ya huyu dada inamsisimua kila mtu na kama uliwahi kufanya tukio lolote linalofanana na hilo ni lazima ulikumbuke, nadhani hapa ndio mahali pake ungetaka stori kama hizi tuzitolee wapi? kama wewe huna tukio lolote unaloweza kushea hapa usikonde acha walio nazo wamwagike huwezi kuzuia mzuka wa matukio kama hayo, subiri picha ni kwa vile zipo katika mtindo ule wa kizamani wa picha za makaratasi mpaka ziskaniwe ningeshaziweka.Tunathibisha vp mkuu@yani mnadandia tren kwa mbele kuelezea stori za kufikirika ambazo mnataka tuziamini,wakati kiualisia ni chai tu
Sent using Jamii Forums mobile app