Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Nimepanda mwishoni mwa mwezi wa kumi na moja kupitia Lemosho, kiukweli unahitajika kujiandaa kisaikolojia zaidi, maana unaweza kuwa mwanamazoezi na mkimbiaji mzuri ila ukaishia Baranco au Shira 2.
 
Sasa ndio nimeelewa zile story za zamani kuwa kuna chunusi anakuvuta kwa chini. Kumbe ni hiyo slope
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Niko naandika part ya mwisho.. halafu nikiisoma mimi mwenyewe natamani kulia... It takes me back to Kilimanjaro.

Nita update kesho asubuhi




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Niko naandika part ya mwisho.. halafu nikiisoma mimi mwenyewe natamani kulia... It takes me back to Kilimanjaro.

Nita update kesho asubuhi




Sent from my iPhone using JamiiForums
Nooo....pole sana Heaven on Earth

Just do it for us, be strong kama ulivyofanya last point to Stella till summit.

Kwa hapa simulizi ilipofikia, it's not about you anymore, do it to show your love to all jf members.

Andika kila kitu utakachokumbuka, amini nakuambia watu wengi watapanda mlima sababu yako and that's your Big Big gift as returns to you.

Don't you like it?? Come on....let's go Malkia!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha hahaha hahaha
Sasa mmoja anasema tusubirie tuzae kwanza... Tukikufwa tuache alama... Yaani ni kukatishana tamaa mwanzo mwisho aki
Ha ahaa ahaaaa..... Msubirie mzae, mweh!!!
Ukishakuwa na mtoto/watoto unawaza ukifa wataishi vipi na dunia ilivyo ngumu sahiv! Muulize ram atasimulia kwenye kubusu jiwe[emoji4][emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maeneo haya ndio Jerrymsigwa alitaka “kukata moto” kuna hali ya hewa fulani hivi unaona hata kuhema ilikua shida.

Kilima kinachoonekana pembeni ni Mawenzi huko watu huwa hawapandi mlima na hapo tunaelekea Kibo.
 

Attachments

Yaani mtu unaambiwa Kuna mamba na bado tena milienda kuogelea.
Mna moyo sana ee 😂😂
 
Nakupongeza mwenye mada kwa ku conquer Kilimanjaro.kupanda milima maarufu duniani tunaweza kusema ni Kama sports competition/ mashindano ya mchezo ndiyo maana wanatoa Cheti. Kilimanjaro ina challenges nyingi kupanda ,Mlima wa nne kwa urefu duniani .Je dada ulitumia siku ngapi kupanda Kilimanjaro?
 
Maeneo haya ndio Jerrymsigwa alitaka “kukata moto” kuna hali ya hewa fulani hivi unaona hata kuhema ilikua shida.

Kilima kinachoonekana pembeni ni Mawenzi huko watu huwa hawapandi mlima na hapo tunaelekea Kibo.

Hahaaa naona hapo kinachokupeleka mbele si nguvu tena bali ni nia ya kufika kileleni,mtu kachoka mpaka viatu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Maeneo haya ndio Jerrymsigwa alitaka “kukata moto” kuna hali ya hewa fulani hivi unaona hata kuhema ilikua shida.

Kilima kinachoonekana pembeni ni Mawenzi huko watu huwa hawapandi mlima na hapo tunaelekea Kibo.
Daaaah!! Nimeangalia hiyo clip hadi nimekuonea huruma!! Ila mwisho wa siku wewe ni jembe!!! Hongera sana kwa mara nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…