Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Bro.
Don't Try to give up...
 
Dahhhh yaan ulifika juu ukakaaa dakika moja tu.....? AISEE ulikosea sana atleast mngekaa for ten minutes mkarud.. mkaenda Mpk kwenye lile shimo....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja niongeze bidii ya kuwafaham wana JF nje ya humu!! Wewe nimeona kwenye thread fulani chimbo lako... Kuna siku ntapita hapo kimyakimya nijionee na kuunga mkono juhudi zako.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kipindi cha nyuma kuonana ilikuwa kawaida
Ila kwa sasa ni changamoto
Refer threads zinazoletwa baada ya watu kujuana huko nje!!
 
Mkuu niliwahi kwenda Uhuru peak na nikakaa zaidi ya dakika kumi, mara nyingi huwa inategemea sana na hali ya hewa ya kipindi hicho.
 
Helicopter haifiki Kibo kabisa...inaishia mita kadhaa kabla ya kibo.
Kumbuka mwinuko wa kibo hut ni 4700m.
 
Ntakutafuta..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…