Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
SIMULIZI: PENZI LANGU
SEHEMU YA 05
ILIPOISHIA.......
Suma aliingia chumbani na kuanza kupekua alifunga droo ya kitanda akakuta funguo nyingi akachukua zote na kuanza kufunguka kabati ambalo lilikua kubwa sana akafungua mlango wa kwanza akakutana na nguo za kiume nyingi sana akafungua mlango wapili akakuta viatu vya Kila aina pia vya mwanaume na akaendelea kufunguka milango yote na mwisho kabisa akakutana na kisanduku akakifungua pia na alichokikuta kilimfanya astaajabu sana na kumfanya ashangae sana.
ENDELEA NAYO.......
Suma alivyostaajabu akajikuta anashindwa kufanya maamuzi akafunga lile sanduku na kulirudisha kabatini na kufunga milango yote na kurudisha funguo kwenye droo na kutoka sebleni huku akihaha sana.
Kichwani mwake ikamjia akili ya ghafla akarudi chumbani haraka na kuchukua Tena funguo kisha kufunguka kabati na kufunguka Tena lile sanduku na kuchukua vibunda viwili vya pesa kisha akafunga na kurudisha sehemu yake na kuingia chumba kingine na kuanza kuhesabu zile pesa zilikua nyingi sana kiasi kwamba alihisi kibunda kimoja kitamtosha sana hivyo alirudisha kimoja na kubaki na kimoja kisha akaweka kwenye begi lake na kutoka nnje na kufunga mlango kisha akapanda kwenye gari na kuondoka zake.
Mtakua mnajiuliza gari alikua hawezi kuendesha jamanii ukiishi na mtu mwenye hela na aliyetofauti na wewe lazima na wewe uwe kama yeye hivyo hata Suma pia alikua mjanja sana alionekana mpole na mkarimu lakini mambo yake alikua anafanya kimya kimya.
Alifika Hadi kwenye car wash ambayo alikua anafanya kazi akapiga honi kama kawaida vijana walichangamkia fursa na baada ya kufika Suma alishusha kioo kitu ambacho kiliwashangaza wote pale hasa Juma ndio alikua mkaidi sana kwa Suma siku hiyo akapiga salute.
Walisalimiana na kuanza kupiga story za hapa na pale kisha Suma akawambia
"Nikweli nilipotea ghafla lakini zote ni changamoto tu ndugu zangu na Kuna msemo usemwao Kila kinachotokea hua kimepangwa na kuna sababu malum iliyofanya kitu hiko kitokee hivyo basi nataka kuwambia kua nimepata bahati mwenzenu nimesaidiwa na mama mmoja hivi anapesa sana, mwanzo alinifanya kama mfanya kazi lakini alivyozidi kuona namuheshimu basi ameniamishia ndani"
"Broo kwahiyo unamkula huyo mama?"
Rama aliuliza maana walikua wanashauku sana ya kutaka kujua vingi kuhusu Suma, Suma akawambia.
"Sikilizeni mimi sio kama wengine sawa, kwanza kabisa ngoja nisije kusahau kitu"
alizama mfukoni na kutoa pesa na kuwakabidhi Kila mmoja elfu30 kisha akawambia.
"Mtakunywa soda ila naomba nitoke na Juma kidogo ndugu zangu"
Juma mwenyewe alikubali Kwa haraka tu kisha wakatoka Hadi sehemu waliyoona inafaa kuzungumza wakazungumza vizuri walichotaka kuzungumza Kisha Suma akataka kumrudisha Juma kazini, Juma akamwambia hapana nataka kwenda kwangu, Suma alimpeleka Juma kwake na wakiendelea kusisitiziana kile walichoongea kisha Suma akarudi nyumbani kwa Nadya na kuendele na mambo yake mengine.
Upande wa Aisha simu hiyo walichelewa sana kuamka kutokana na uchovu alipotazama saa ilikua saa4 asubuhi aliamka haraka akafanya usafi na kuandaa kifungua kinywa kisha akamwamsha pia mama yake na kisha baada ya kujiweka sawa walisogea mezani kwaajili ya kupata chakula, lakini kabla ya Aisha hajaanza kula mara alisikika mlio wa simu ukitokea chumbani kwake, haraka aliwahi na baada ya kutazama aliona jina la Suma haraka akatoka chumbani na kumwambia mama yake.
"Mama Suma anapiga"
mama yake alichukua simu na kuipokea.
"Hallow mwanangu unaendeleaje lakini mbona umetususa hivyo?"
"Mama nimeongea na Aisha akanambia uko sawa na sababu ulikua umelala nikamwambia akuache upumzike lakini samahani mama"
"Suma upo wapi baba mbona moyo wangu unaenda mbio mwanangu umefanya kitu kibaya chochote mwanangu Nina wasiwasi sana juu yako"
"mama aa kumbuka ku.... kua hakuna kitu kibaya nilichokifanya ondoa shaka kabisa kuhusu mimi mama"
"Suma usinifiche nieleze Mimi ni mama yako"
Aisha alichukua simu na kumuulizaa Suma Kwa taharuki.
"Suma unanini mbona unamuweka mama kwenye wasiwasi umefanya Nini kibaya?"
"Aah Aisha subiri nitakupigia"
mara Suma alikata simu na kumfanya Aisha aingiwe na uoga na wasiwasi pia kuhusu Suma hivyo hata chakula hakikulika kabisa sio mama yake Wala Aisha wote walikua na mawazo sana.
Upande wa Suma pia ilikua inamuumiza sana sababu alikua anajiuliza mama yake amejuaje kuhusu alichokifanya na mara ghafla mlango ulifunguliwa na akaingia Nadya kitu ambacho kilimshangaza zaidi Suma maana hakuwahi kurudi mapema kiasi hiko Suma akamuuliza.
"Vipi baby Kuna kitu umesahau?"
"Aah ndio kipenzi na nachukua tu kisha narudi ofsini"
Nadya hakua na mengi ya kuzungumza aliingia chumbani na kuchukua ufunguo kwenye droo na kufungua kabati lake kwenye mlango wa mwisho kisha akakifungua kile kisanduku wakati huo Suma alikua anachungulia kupitia tundu la kitasa cha mlango huku jasho likimtoka kwenye mstari wa mgongoni likimtiririka sababu alijua vyema kuwa anaenda kuumbuka hivi karibuni lakini Nadya alikua bize na mambo yake kisha akachukua kiasi alichohitaji na kuhifadhi sehemu husika kisha akatoka sebleni na kumkuta Suma amejilaza akiwa ana mawazo sana maana alishajua kipi anafanya hivyo akishajikatia tamaa kua Chochote kitakachotokea kitokee tu sababu amekipanga.
Basi baada ya Nadya kufika sebleni akamwambia.
"Baby badae ila leo nitachelewa kidogo nivumilie sawa mpenzi eeh"
"Sawa mke wangu nakupenda"
sauti ambayo alikua amezungumza Suma ilikua yenye wasiwasi sana Nadya akasogea karibu na kumuuliza.
"Unanini lakini mume wangu mbona unaniogopesha kiasi hiko?"
"Aah ni vile tu ni ...."
kabla hajamaliza kuzungumza simu ya Nadya iliita na akasimama na kumuaga Suma huku akimdanganya boss wake kua yupo kwenye foleni.
Kuondoka kwa Nadya ndio ilikua nafuu ya Suma alishusha pumzi ndefu kisha akajiuliza.
"Inamaana Nadya hajagundua Chochote? Itabidi nirudishe pesa ya watu kabla ya kugundua nilichokifanya"
Suma alitafuta namba ya Juma na alitaka kuipiga hiyo namba lakini akasita na kuizima simu yake na kuweka Kando, aliendelea na kazi zake kama kawaida na alikua mwenye mawazo sana siku hiyo hadi usiku, tena siku hiyo kabla ya Nadya kurudi alikua ameshalala.
Nadya alivyorudi akamkuta Suma amelala hakutaka kumsumbua kwa Chochote kile alimuacha aendelee kulala.
Zilipita kama wiki mbili Suma aliendelea kumkwepa Nadya siku hiyo Nadya akamtolea uvivu alipomkuta amelala akamwamsha na kumuuliza.
"Suma una matatizo gani sikuizi mbona sikuelewi eeh shida Nini hasa kila siku wewe ni wa kwanza kulala na wa mwisho kuamka shida Nini eeh kama unaumwa unasema mtu anajua anaanzia wapi kama unahisi nimekukosea pia unasema"
"Aah Nadya nisamehe najikuta tu nakua mchovu sana"
"Suma unatembea na mwanamke mwingine nje sio?"
"Nadya mama ni mambo gani ambayo unayazungumza?"
"Sawa kama unajifanya huelewi ila nikija kujua kama una mwanamke mwingine nje ukimuondoa huyo wa kijijini nakuuwa wewe na huyo malaya wako"
Nadya alikua na hasira sana Suma akaona atumie fursa hiyo kumtuliza mtoto apunguze hasira hivyo kama kawaida yake alishajua wapi anampatia basi walifika safari yao mwenyewe Nadya aliomba msamaha kwa Suma Kwa kile alichokisema.
"Baby nisamehe nimezungumza vibaya sana"
"Usijali sana halafu unajua ukiwa unakasirika hivi huaga inakua tamu sana si unaona Leo umeinjoy sana eeh?"
"Ndio baby nakupenda"
"Nakupenda pia mpenzi haya Sasa lala ili kesho uwe na siku nzuri kazini"
"Suma naomba utamu wako usimuonjeshe mtu mwingine yoyote yule zaidi yangu Mimi"
"Na mimi pia Nadya na sasa hivi nimeshasahau kuhusu mwanamke wa kijijini apambane na hali yake wewe na mimi tu utamu wangu ndio utamu wako sawa Nadya wangu?"
"Sawa baby tulale"
Nadya hakuchukua muda mrefu alipitiwa na usingizi lakini upande wa Suma alikua anapanga mipango yake kichwani kwake.
Upande wa Aisha akazungumza
"mama hii wiki ya pili sasa Suma hapigi simu hata kusema Chochote kile hivi hajui kama tunawasiwasi juu yake?"
"Aisha unachojiuliza wewe na mimi najiuliza hiko hiko kwanini Suma amebadilika hivi?"
"Mama unavyosema hivyo unanifanya niingiwe na wivu juu yake"
"Sijamaanisha hivyo, amebadilika mambo yake yaani sio mpigaji wa simu tena na ameshindwa kusema ukweli Nini kinamsumbua inanipa wasiwasi sana"
"Mama twende chumbani ukapumzike Mimi sitalala nitahakikisha namsumbua Hadi atapokea simu yangu."
Aisha alimpeleka mama yake chumbani na kumfunika shuka huku aliendelea kumtafuta Suma Kwa meseji Kwa njia ya kumpigia pia lakini hakua na majibu ya aina yoyote Yale.
Asubuhi mapema Aisha aliamka nakuendelea kumtafuta Suma lakini hakukua na tofauti na usiku wa jana, mara mlango ukagongwa haraka Aisha alifungua na kumuona Dan akamuuliza.
"Dan vipi mbona asubuhi mapema Kuna shida gani?"
"Dada kuna tatizo kubwa sana inasemekana kua wale wafungwa kule wamegudnua kua Bado unaishi wakati walijua umeshakufa hivyo muda wowote ule wanaweza kukuvamia hapa na kukupoteza hivyo Kuna tiketi hapa ya wewe kuondoka haraka iwezekanavyo"
"Dan hizo tiketi naenda wapi Mimi eeh sikiliza Dan Sina popote pa kwenda na ikiwezekana nitapambana Hadi tone langu la damu la mwisho siwogopi Chochote sababu kwanza Sina moyo wa huruma Wala uoga Tena Dan wamenifanya niwe na moyo mgumu kama jiwe la mtumba Sasa utajua kama jiwe lamtunba ni la aina Gani"
Aisha alichukua ile tiketi na kuichana mbele ya Dan, Dan akamwambia.
"Lakini wazazi wako wame..."
"Wazazi wangu wamefariki najua lakini wanataka nilipe kisasi sababu nikiwa nakimbia sitalipa kisasi kwaajili ya wazazi wangu"
"Aisha dada lakini mbona upo hivyo wewe kwani usiwe muelewa tu jamanii?"
"Nitakua muelewa kama utanielewa Nini namaanisha Dan nenda"
Aisha alifunga mlango kwa hasira na kukaa chini akiwa na maumivu sana maana Dan nikama vile alimtonesha kidonda chake ambacho kilianza kupona.
Upande wa Suma baada ya kuagana na Nadya kuelekea kazini alimoigia simu rafiki yake wakaagana kukutana sehemu na wakakutana na Juma alimkabidhi pesa Suma na kumwambia.
"Suma nakuona mbali sana kwa sababu unaakili sana kaka endelea hivyo hivyo"
"Usijali kaka nimekushirikisha wewe sababu wote nataka tuendelee na hata ikiwezekana tuzidi kuifanya car wash iwe yenye ubora na tuwatie na marafiki zetu pia kaka tufanye biashara"
"Sawa Suma hamna shida basi nitakupa taarifa zote"
"Sawa kwaheri"
Suma na Juma waliagana na Kila mmoja kuondoka zake, Suma alipofika tu alirudisha zile pesa Kwenye sehemu husika na kusema.
"Asante Mungu kwa kunilinda na hili jambo bila ya Nadya kushtukia hili"
Akawasha mziki na kuanza kucheza Kwa furaha mara ghafla mlango ulifunguliwa...
ITAENDELEA.......
Kuna nini kinachoendelea kwa upande wa Aisha na pia kwa upande wa Suma? Jina la simulizi PENZI LANGU
SEHEMU YA 05
ILIPOISHIA.......
Suma aliingia chumbani na kuanza kupekua alifunga droo ya kitanda akakuta funguo nyingi akachukua zote na kuanza kufunguka kabati ambalo lilikua kubwa sana akafungua mlango wa kwanza akakutana na nguo za kiume nyingi sana akafungua mlango wapili akakuta viatu vya Kila aina pia vya mwanaume na akaendelea kufunguka milango yote na mwisho kabisa akakutana na kisanduku akakifungua pia na alichokikuta kilimfanya astaajabu sana na kumfanya ashangae sana.
ENDELEA NAYO.......
Suma alivyostaajabu akajikuta anashindwa kufanya maamuzi akafunga lile sanduku na kulirudisha kabatini na kufunga milango yote na kurudisha funguo kwenye droo na kutoka sebleni huku akihaha sana.
Kichwani mwake ikamjia akili ya ghafla akarudi chumbani haraka na kuchukua Tena funguo kisha kufunguka kabati na kufunguka Tena lile sanduku na kuchukua vibunda viwili vya pesa kisha akafunga na kurudisha sehemu yake na kuingia chumba kingine na kuanza kuhesabu zile pesa zilikua nyingi sana kiasi kwamba alihisi kibunda kimoja kitamtosha sana hivyo alirudisha kimoja na kubaki na kimoja kisha akaweka kwenye begi lake na kutoka nnje na kufunga mlango kisha akapanda kwenye gari na kuondoka zake.
Mtakua mnajiuliza gari alikua hawezi kuendesha jamanii ukiishi na mtu mwenye hela na aliyetofauti na wewe lazima na wewe uwe kama yeye hivyo hata Suma pia alikua mjanja sana alionekana mpole na mkarimu lakini mambo yake alikua anafanya kimya kimya.
Alifika Hadi kwenye car wash ambayo alikua anafanya kazi akapiga honi kama kawaida vijana walichangamkia fursa na baada ya kufika Suma alishusha kioo kitu ambacho kiliwashangaza wote pale hasa Juma ndio alikua mkaidi sana kwa Suma siku hiyo akapiga salute.
Walisalimiana na kuanza kupiga story za hapa na pale kisha Suma akawambia
"Nikweli nilipotea ghafla lakini zote ni changamoto tu ndugu zangu na Kuna msemo usemwao Kila kinachotokea hua kimepangwa na kuna sababu malum iliyofanya kitu hiko kitokee hivyo basi nataka kuwambia kua nimepata bahati mwenzenu nimesaidiwa na mama mmoja hivi anapesa sana, mwanzo alinifanya kama mfanya kazi lakini alivyozidi kuona namuheshimu basi ameniamishia ndani"
"Broo kwahiyo unamkula huyo mama?"
Rama aliuliza maana walikua wanashauku sana ya kutaka kujua vingi kuhusu Suma, Suma akawambia.
"Sikilizeni mimi sio kama wengine sawa, kwanza kabisa ngoja nisije kusahau kitu"
alizama mfukoni na kutoa pesa na kuwakabidhi Kila mmoja elfu30 kisha akawambia.
"Mtakunywa soda ila naomba nitoke na Juma kidogo ndugu zangu"
Juma mwenyewe alikubali Kwa haraka tu kisha wakatoka Hadi sehemu waliyoona inafaa kuzungumza wakazungumza vizuri walichotaka kuzungumza Kisha Suma akataka kumrudisha Juma kazini, Juma akamwambia hapana nataka kwenda kwangu, Suma alimpeleka Juma kwake na wakiendelea kusisitiziana kile walichoongea kisha Suma akarudi nyumbani kwa Nadya na kuendele na mambo yake mengine.
Upande wa Aisha simu hiyo walichelewa sana kuamka kutokana na uchovu alipotazama saa ilikua saa4 asubuhi aliamka haraka akafanya usafi na kuandaa kifungua kinywa kisha akamwamsha pia mama yake na kisha baada ya kujiweka sawa walisogea mezani kwaajili ya kupata chakula, lakini kabla ya Aisha hajaanza kula mara alisikika mlio wa simu ukitokea chumbani kwake, haraka aliwahi na baada ya kutazama aliona jina la Suma haraka akatoka chumbani na kumwambia mama yake.
"Mama Suma anapiga"
mama yake alichukua simu na kuipokea.
"Hallow mwanangu unaendeleaje lakini mbona umetususa hivyo?"
"Mama nimeongea na Aisha akanambia uko sawa na sababu ulikua umelala nikamwambia akuache upumzike lakini samahani mama"
"Suma upo wapi baba mbona moyo wangu unaenda mbio mwanangu umefanya kitu kibaya chochote mwanangu Nina wasiwasi sana juu yako"
"mama aa kumbuka ku.... kua hakuna kitu kibaya nilichokifanya ondoa shaka kabisa kuhusu mimi mama"
"Suma usinifiche nieleze Mimi ni mama yako"
Aisha alichukua simu na kumuulizaa Suma Kwa taharuki.
"Suma unanini mbona unamuweka mama kwenye wasiwasi umefanya Nini kibaya?"
"Aah Aisha subiri nitakupigia"
mara Suma alikata simu na kumfanya Aisha aingiwe na uoga na wasiwasi pia kuhusu Suma hivyo hata chakula hakikulika kabisa sio mama yake Wala Aisha wote walikua na mawazo sana.
Upande wa Suma pia ilikua inamuumiza sana sababu alikua anajiuliza mama yake amejuaje kuhusu alichokifanya na mara ghafla mlango ulifunguliwa na akaingia Nadya kitu ambacho kilimshangaza zaidi Suma maana hakuwahi kurudi mapema kiasi hiko Suma akamuuliza.
"Vipi baby Kuna kitu umesahau?"
"Aah ndio kipenzi na nachukua tu kisha narudi ofsini"
Nadya hakua na mengi ya kuzungumza aliingia chumbani na kuchukua ufunguo kwenye droo na kufungua kabati lake kwenye mlango wa mwisho kisha akakifungua kile kisanduku wakati huo Suma alikua anachungulia kupitia tundu la kitasa cha mlango huku jasho likimtoka kwenye mstari wa mgongoni likimtiririka sababu alijua vyema kuwa anaenda kuumbuka hivi karibuni lakini Nadya alikua bize na mambo yake kisha akachukua kiasi alichohitaji na kuhifadhi sehemu husika kisha akatoka sebleni na kumkuta Suma amejilaza akiwa ana mawazo sana maana alishajua kipi anafanya hivyo akishajikatia tamaa kua Chochote kitakachotokea kitokee tu sababu amekipanga.
Basi baada ya Nadya kufika sebleni akamwambia.
"Baby badae ila leo nitachelewa kidogo nivumilie sawa mpenzi eeh"
"Sawa mke wangu nakupenda"
sauti ambayo alikua amezungumza Suma ilikua yenye wasiwasi sana Nadya akasogea karibu na kumuuliza.
"Unanini lakini mume wangu mbona unaniogopesha kiasi hiko?"
"Aah ni vile tu ni ...."
kabla hajamaliza kuzungumza simu ya Nadya iliita na akasimama na kumuaga Suma huku akimdanganya boss wake kua yupo kwenye foleni.
Kuondoka kwa Nadya ndio ilikua nafuu ya Suma alishusha pumzi ndefu kisha akajiuliza.
"Inamaana Nadya hajagundua Chochote? Itabidi nirudishe pesa ya watu kabla ya kugundua nilichokifanya"
Suma alitafuta namba ya Juma na alitaka kuipiga hiyo namba lakini akasita na kuizima simu yake na kuweka Kando, aliendelea na kazi zake kama kawaida na alikua mwenye mawazo sana siku hiyo hadi usiku, tena siku hiyo kabla ya Nadya kurudi alikua ameshalala.
Nadya alivyorudi akamkuta Suma amelala hakutaka kumsumbua kwa Chochote kile alimuacha aendelee kulala.
Zilipita kama wiki mbili Suma aliendelea kumkwepa Nadya siku hiyo Nadya akamtolea uvivu alipomkuta amelala akamwamsha na kumuuliza.
"Suma una matatizo gani sikuizi mbona sikuelewi eeh shida Nini hasa kila siku wewe ni wa kwanza kulala na wa mwisho kuamka shida Nini eeh kama unaumwa unasema mtu anajua anaanzia wapi kama unahisi nimekukosea pia unasema"
"Aah Nadya nisamehe najikuta tu nakua mchovu sana"
"Suma unatembea na mwanamke mwingine nje sio?"
"Nadya mama ni mambo gani ambayo unayazungumza?"
"Sawa kama unajifanya huelewi ila nikija kujua kama una mwanamke mwingine nje ukimuondoa huyo wa kijijini nakuuwa wewe na huyo malaya wako"
Nadya alikua na hasira sana Suma akaona atumie fursa hiyo kumtuliza mtoto apunguze hasira hivyo kama kawaida yake alishajua wapi anampatia basi walifika safari yao mwenyewe Nadya aliomba msamaha kwa Suma Kwa kile alichokisema.
"Baby nisamehe nimezungumza vibaya sana"
"Usijali sana halafu unajua ukiwa unakasirika hivi huaga inakua tamu sana si unaona Leo umeinjoy sana eeh?"
"Ndio baby nakupenda"
"Nakupenda pia mpenzi haya Sasa lala ili kesho uwe na siku nzuri kazini"
"Suma naomba utamu wako usimuonjeshe mtu mwingine yoyote yule zaidi yangu Mimi"
"Na mimi pia Nadya na sasa hivi nimeshasahau kuhusu mwanamke wa kijijini apambane na hali yake wewe na mimi tu utamu wangu ndio utamu wako sawa Nadya wangu?"
"Sawa baby tulale"
Nadya hakuchukua muda mrefu alipitiwa na usingizi lakini upande wa Suma alikua anapanga mipango yake kichwani kwake.
Upande wa Aisha akazungumza
"mama hii wiki ya pili sasa Suma hapigi simu hata kusema Chochote kile hivi hajui kama tunawasiwasi juu yake?"
"Aisha unachojiuliza wewe na mimi najiuliza hiko hiko kwanini Suma amebadilika hivi?"
"Mama unavyosema hivyo unanifanya niingiwe na wivu juu yake"
"Sijamaanisha hivyo, amebadilika mambo yake yaani sio mpigaji wa simu tena na ameshindwa kusema ukweli Nini kinamsumbua inanipa wasiwasi sana"
"Mama twende chumbani ukapumzike Mimi sitalala nitahakikisha namsumbua Hadi atapokea simu yangu."
Aisha alimpeleka mama yake chumbani na kumfunika shuka huku aliendelea kumtafuta Suma Kwa meseji Kwa njia ya kumpigia pia lakini hakua na majibu ya aina yoyote Yale.
Asubuhi mapema Aisha aliamka nakuendelea kumtafuta Suma lakini hakukua na tofauti na usiku wa jana, mara mlango ukagongwa haraka Aisha alifungua na kumuona Dan akamuuliza.
"Dan vipi mbona asubuhi mapema Kuna shida gani?"
"Dada kuna tatizo kubwa sana inasemekana kua wale wafungwa kule wamegudnua kua Bado unaishi wakati walijua umeshakufa hivyo muda wowote ule wanaweza kukuvamia hapa na kukupoteza hivyo Kuna tiketi hapa ya wewe kuondoka haraka iwezekanavyo"
"Dan hizo tiketi naenda wapi Mimi eeh sikiliza Dan Sina popote pa kwenda na ikiwezekana nitapambana Hadi tone langu la damu la mwisho siwogopi Chochote sababu kwanza Sina moyo wa huruma Wala uoga Tena Dan wamenifanya niwe na moyo mgumu kama jiwe la mtumba Sasa utajua kama jiwe lamtunba ni la aina Gani"
Aisha alichukua ile tiketi na kuichana mbele ya Dan, Dan akamwambia.
"Lakini wazazi wako wame..."
"Wazazi wangu wamefariki najua lakini wanataka nilipe kisasi sababu nikiwa nakimbia sitalipa kisasi kwaajili ya wazazi wangu"
"Aisha dada lakini mbona upo hivyo wewe kwani usiwe muelewa tu jamanii?"
"Nitakua muelewa kama utanielewa Nini namaanisha Dan nenda"
Aisha alifunga mlango kwa hasira na kukaa chini akiwa na maumivu sana maana Dan nikama vile alimtonesha kidonda chake ambacho kilianza kupona.
Upande wa Suma baada ya kuagana na Nadya kuelekea kazini alimoigia simu rafiki yake wakaagana kukutana sehemu na wakakutana na Juma alimkabidhi pesa Suma na kumwambia.
"Suma nakuona mbali sana kwa sababu unaakili sana kaka endelea hivyo hivyo"
"Usijali kaka nimekushirikisha wewe sababu wote nataka tuendelee na hata ikiwezekana tuzidi kuifanya car wash iwe yenye ubora na tuwatie na marafiki zetu pia kaka tufanye biashara"
"Sawa Suma hamna shida basi nitakupa taarifa zote"
"Sawa kwaheri"
Suma na Juma waliagana na Kila mmoja kuondoka zake, Suma alipofika tu alirudisha zile pesa Kwenye sehemu husika na kusema.
"Asante Mungu kwa kunilinda na hili jambo bila ya Nadya kushtukia hili"
Akawasha mziki na kuanza kucheza Kwa furaha mara ghafla mlango ulifunguliwa...
ITAENDELEA.......
Kuna nini kinachoendelea kwa upande wa Aisha na pia kwa upande wa Suma? Jina la simulizi PENZI LANGU