Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,548
- 63,038
Oooh! Nishamuelewa !Anamaanisha avatar broh [emoji12]
Wasalimie waluguru aisee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooh! Nishamuelewa !Anamaanisha avatar broh [emoji12]
Simlaumu labda kwakuwa yupo katika hali mbaya ila mwenye makosa ni mm sijaleta taarifa kwa ndugu zetu, amepata misiba miwili ndani ya siku 2,Aniambie wapi?Vibaya hivyo jamani.
Msiba gani huo wa kwenu wenyewe?
Ukawa wanaleta presha Jimboni, ila hawajui nyani mzee nina mbinu nyingi za kutetea jimbo langu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimeipenda hii.
Umeamua kumficha bibie...
Kweli wewe ndio mmiliki halali [emoji119]
MhhhhhhOooh! Nishamuelewa !
Wasalimie waluguru aisee!
Zaidi ya serious, kuna vitu si vya kuletea utani shem,Johnson [emoji15] [emoji22]
Hii ni serious au utani?
Oh dear jamani kumbe ndio maana simuoni?Zaidi ya serious, kuna vitu si vya kuletea utani shem,
Hebu check nae nadhani simu yake unayo
[emoji120] [emoji120] [emoji120] Zimefika japo si kwa wakati maana yupo busy hatari [emoji23] [emoji23]Oh dear jamani kumbe ndio maana simuoni?
Mpe pole sana...nitamcheki.
Wewe nae ulikosea,kama mtu wake wa karibu ulitakiwa utoe taarifa kwetu mapema kama wanafamilia.[emoji120] [emoji120] [emoji120] Zimefika japo si kwa wakati maana yupo busy hatari [emoji23] [emoji23]
Huwezi amini sijaingia kule tangu jana natamani kuingia lakini mda sina, na ubaya wa kule ukiingia na kutoka unapoteza conversation za nyuma, ule mchezo wa ku scroll unakera sana [emoji23] [emoji23]Mkuu umeshasoma kile kitu nini?
Uwiiiiiiii natamanije kusoma sasa hivi jamani?
Too bad niko busy hatariiiii.
Ngoja nifanye mambo yangu haraka
cc mahoza kitu tayari mama.
Nisameheni,Wewe nae ulikosea,kama mtu wake wa karibu ulitakiwa utoe taarifa kwetu mapema kama wanafamilia.
[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]Sema kabisa ! Ma ni mariam
Hiyo ingize simalizii..! Hahaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Si hiyo sijui mnaita avatar.Picha ipi mkuu?
Wewe wasema. [emoji3]Sema kabisa ! Ma ni mariam
Hiyo ingize simalizii..! Hahaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Poleni kwa matatizo mkuu. Mola awafanyie wepesi ktk kipindi hiki kigumu.Simlaumu labda kwakuwa yupo katika hali mbaya ila mwenye makosa ni mm sijaleta taarifa kwa ndugu zetu, amepata misiba miwili ndani ya siku 2,
So sad kwa kweli Clkey
Nimekimbia nusura nivunje hiki sijui mnaitaje nikitaka kuona huko kwetu Kilakala vipi. Nakutana na haya madrug dealer[emoji23][emoji23] ambayo Drump atawakomesha. Hahaha.Mkuu umeshasoma kile kitu nini?
Uwiiiiiiii natamanije kusoma sasa hivi jamani?
Too bad niko busy hatariiiii.
Ngoja nifanye mambo yangu haraka
cc mahoza kitu tayari mama.
[emoji120] [emoji120] AminaPoleni kwa matatizo mkuu. Mola awafanyie wepesi ktk kipindi hiki kigumu.
Nitarudi nikiwa nimetulia mda huu sio fresh kwangu. Asante kwa info.Mkuu umeshasoma kile kitu nini?
Uwiiiiiiii natamanije kusoma sasa hivi jamani?
Too bad niko busy hatariiiii.
Ngoja nifanye mambo yangu haraka
cc mahoza kitu tayari mama.