Simulizi za the Bold

Simulizi za the Bold

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimeipenda hii.
Umeamua kumficha bibie...
Kweli wewe ndio mmiliki halali [emoji119]
Ukawa wanaleta presha Jimboni, ila hawajui nyani mzee nina mbinu nyingi za kutetea jimbo langu
 
Mkuu umeshasoma kile kitu nini?
Uwiiiiiiii natamanije kusoma sasa hivi jamani?
Too bad niko busy hatariiiii.
Ngoja nifanye mambo yangu haraka

cc mahoza kitu tayari mama.
Huwezi amini sijaingia kule tangu jana natamani kuingia lakini mda sina, na ubaya wa kule ukiingia na kutoka unapoteza conversation za nyuma, ule mchezo wa ku scroll unakera sana [emoji23] [emoji23]
 
Wewe nae ulikosea,kama mtu wake wa karibu ulitakiwa utoe taarifa kwetu mapema kama wanafamilia.
Nisameheni,
Nilitumia mda mwingi kumrudisha katika hali yake na pia ukizingatia zimetokea misiba miwili kwa mpgo,
hata mimi nilikuwa shocked kwa kweli,

so nilishindwa kujigawa maana si kwa kudekewa kule[emoji23] [emoji23] [emoji23],
 
Mkuu umeshasoma kile kitu nini?
Uwiiiiiiii natamanije kusoma sasa hivi jamani?
Too bad niko busy hatariiiii.
Ngoja nifanye mambo yangu haraka

cc mahoza kitu tayari mama.
Nimekimbia nusura nivunje hiki sijui mnaitaje nikitaka kuona huko kwetu Kilakala vipi. Nakutana na haya madrug dealer[emoji23][emoji23] ambayo Drump atawakomesha. Hahaha.
 
Back
Top Bottom