Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
- Thread starter
- #261
Habari ndohiyo halafu umenikumbusha kweli mazingira ya shuleni darasani kwangu waschana walikuwa wengi kuliko wanaume nawalinipenda kwa upole wangu na nilikuwa na nakwenda na shilingi moja na senti hamsini niliyo ikwapua home nawatwanga vitumbua kapu zima enzi za mwalim bwana ilikuwa tamu sana
Hahahahaha!!Hopefully umeshawalipa wazee shilingi zao ulizokwapua enzi hizo pamoja na faida!!!