Simwelewi kabisa huyu mpwa wangu

Simwelewi kabisa huyu mpwa wangu

mweeeh
hiyo ya Son of Alaska imekubuhu naona inafikia kuwa na ngozi ya tembo

Haka bado kadogo saaaana...Hata hajakaribia kwenye magoti??

Ombeni tu Mungu msione mzigo wenyewe..Ngoja nimwombe jamaa yangu mmoja anipe picha ya full moon!
 
Hiyo Albendazole huwa ninakula mwenyewe kila baada ya miezi sita mpaka mwaka.

Nadhani DC ni ukosefu wa taarifa tu. Watu hawajui kama kuna dawa hizo zinazotolewa au zinazoweza kununuliwa madukani.

Haya kila mmoja shime akawahi dawa yake

nadhani hilo ndo tatizo hasa Gee...
hatuko aware kabisa na hizi huduma. mi najaribu kufikiria tu hata zile chandarua za bure kwa msaada wa watu w marekani, binafsi hata sijui mchakato unaendaje...
 
hii manati inakodishwa! afu ujiandae, nishamuambia fide alete huyo busha hapa tumuopereti! babu atamuwekea waleti yenye fedha za mchango hadi afufuke ndo atulipe.
afu babu punguza lugha hizo,wenzio we ar 35 yrs old babies!
<br />
<br />
King'asti hebu peana na mimi manati hiyo...........kuna mtu ananiletea za kuleta.

BTW ushawahi kukutana na Busha? Nijibu kwa PM tafazali.
 
Haka bado kadogo saaaana...Hata hajakaribia kwenye magoti??

Ombeni tu Mungu msione mzigo wenyewe..Ngoja nimwombe jamaa yangu mmoja anipe picha ya full moon!

eeeh i wonder hiyo stimu yao inaendeleaje kuwapo!!! nahisi nikiliona laivu na hamu kwisha habari yake...
 
Jambisha, Ppppphhhhhh....
Halafu linafuata tusi.
Muacheni tu. mi Napenda sana haka kamchezo
 
Huku shekoslovakia ukiwa na busha wanakuweka museum! msibishe!
 
mother of them all
penderita+filaria+3.jpg
 
dah, leo ni mwendo wa mabusha tu hapa.................

sijui kesho itakuwa ni nini?..................
 
Comrade hebu taja maeneo hapa nikajaribu bahati yangu.....Pwani kubwa hii, kuna wabara kibao wamevamia.

Kamanda kule Mafia kwa kanali Ayubu Kimbau bado wabara kujazana. Jaribu huko halafu uje unambie.
 
Back
Top Bottom