Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni changamotoNina mpenzi wangu nampenda sana,but one problem hataki niguse simu yake,na akipigiwa anatoka nje,what do you say my friend about that?kuna luv hapo au changa la macho?
Uhusiano wenu bado hauna mashiko, nadhani sio suala la kung'ang'ania simu yake suala hapo ni kumhakikishia aina ya uhusianao unaoukusudia kwake na kwamba una nia nzuri naye, ikibidi mwambie kwamba una mpango wa kumuoa (kama unafikiria kufanya hivyo kikweli) kwa kufanya hivi itakuwa rahisi kwa yeye kuwaambia hao wezi wengine kwamba "jamani sasa nina mchumba".Nina mpenzi wangu nampenda sana,but one problem hataki niguse simu yake,na akipigiwa anatoka nje,what do you say my friend about that?kuna luv hapo au changa la macho?
Nina mpenzi wangu nampenda sana,but one problem hataki niguse simu yake,na akipigiwa anatoka nje,what do you say my friend about that?kuna luv hapo au changa la macho?
Nina mpenzi wangu nampenda sana,but one problem hataki niguse simu yake,na akipigiwa anatoka nje,what do you say my friend about that?kuna luv hapo au changa la macho?
Nina mpenzi wangu nampenda sana,but one problem hataki niguse simu yake,na akipigiwa anatoka nje,what do you say my friend about that?kuna luv hapo au changa la macho?
ulimpenda yy au simu?simu ulinunua ww?so tatizo ni sm tu au kuna dalili nyingine umeziona?