Sina amani naye japo nampenda huyu binti

Kweli kabisa ndege wafananao huruka pamoja umemshika mungu tafuta mshika mungu mwenzako lasivyo utakutana na kitu kitakacho kutoa kwenye njia.
Kweli mkuu,, kuna kipindi moyo unakuwa mgumu natamani naihirishe lakini nashindwa kuchukua maamuzi.
 
ukiona kitu, unakipendaa ila huna amani nayo mara nyingi kuna vitu anavifanyaa ambavyo huvipendi na ukivijuaa utamchukiaa milele!!



Tumsifu Yesu Kristo!
 
ukiona kitu, unakipendaa ila huna amani nayo mara nyingi kuna vitu anavifanyaa ambavyo huvipendi na ukivijuaa utamchukiaa milele!!



Tumsifu Yesu Kristo!
Amina sana,, point ya maana sana mpendwa, nichuke uamzi wa kumchunguza??
 
Tafuta mwanamke mwingine 'mpendwa' uoe..huyo ktk ulimwengu wa kiroho nafsi yako imeshamkataa..lazma kutakua na kitu kibaya mbeleni.
Nikweli mpendwa kuna wakati roho inakuwa na mashaka sana juu yake na amani haijawa kubwa sana moyoni mwangu juu yake.

Sasa labda kuna vitu Mungu anihusisha nisije nikazama shimoni.
 
25 yrs zidisha maombi na jikite zaid kuimarisha uchumi wako utajanishukuru baadae. Kama huna mpango wa kuoa ndani ya miaka miwili ijayo fanya maamuzi sahih

Acha kukuza mambo.

Sexual violence ndo ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…