Sina amani Sana kila niwapo nje ya nyumban Kwangu:Panya road wananinyima Raha sana.

Sina amani Sana kila niwapo nje ya nyumban Kwangu:Panya road wananinyima Raha sana.

Google Diggers

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2015
Posts
944
Reaction score
1,138
Somo hapo juu linasoma.
Mimi ni Mzee na Nina familia ni kawaida kuchelewa kwangu, lakini pamoja na kui asa familia iwahi mapishi na kwa kuwa nafanya shopping ya two wiki, na maji choo na kila kitu ndani bado napata mashaka sana na hivi vishenzi a.k.a panyaroad.

Kwa kawaida nchi haipaswi kudharau hizi Growing Organized whether it's Criminal Groups ziwe za Kidini , za kijanii nk ni muhimu kupay attention.

Nashukuru serikali ilionesha kujali baada ya kamishina wa mkoa wa DSM kutia onyo. Ila askari wake sioni wakiwa serious.

Polisi jamii sio suluhu. Na sidhani kama serikali makin yenye askal na wasomi watabaki kuamini sungusungu can solve this horrible attack from silly child brain Dead
 
Somo hapo juu linasoma.
Mimi ni Mzee na Nina familia ni kawaida kuchelewa kwangu, lakini pamoja na kui asa familia iwahi mapishi na Kwa kuwa nafanya shopping ya two wiki, na maji choo na kila kitu ndani bado napata mashaka Sana na hivi vushenzi aka panyaroad.

Kw Kawaida nchi haipaswi kudharai hizi growing organized group ziwe za kidini, za kijanii nk ni muhimu kupay attention.

Nashiku serikali ilionesha kujali baada ya kamishina wa mkoa wa DSM kutia onyo. Ila sskali wake sioni wakiwa serious.

Polisi jamii sio suluhu. Na sidhani kama serikali makin yenye askal na wasomi watabaki kuamini sungusungu can solve this horrible attack from silly child brain Dead
Unakaa wap Mkuu Hadi unaogopa watoto wadogo panya roAd
 
Somo hapo juu linasoma.
Mimi ni Mzee na Nina familia ni kawaida kuchelewa kwangu, lakini pamoja na kui asa familia iwahi mapishi na kwa kuwa nafanya shopping ya two wiki, na maji choo na kila kitu ndani bado napata mashaka sana na hivi vishenzi a.k.a panyaroad.

Kwa kawaida nchi haipaswi kudharau hizi Growing Organized whether it's Criminal Groups ziwe za Kidini , za kijanii nk ni muhimu kupay attention.

Nashukuru serikali ilionesha kujali baada ya kamishina wa mkoa wa DSM kutia onyo. Ila askari wake sioni wakiwa serious.

Polisi jamii sio suluhu. Na sidhani kama serikali makin yenye askal na wasomi watabaki kuamini sungusungu can solve this horrible attack from silly child brain Dead
Ni aibu kwa mzee kama wewe kuogopa panyaroad, huku ukiwasifia wapigaji wa mabilioni huko serikalini, wazee kama ninyi mmeisababishia nchi yetu kuzidi kuwa maskini, shame on you!
 
Ni aibu kwa mzee kama wewe kuogopa panyaroad, huku ukiwasifia wapigaji wa mabilioni huko serikalini, wazee kama ninyi mmeisababishia nchi yetu kuzidi kuwa maskini, shame on you!
Ninyi watoto tumeifikisha inchi hii hapa ikiwa na amani na mshikamano, nyie na uvivu wenu hata sungusungu mnataka na wazee waamuke kuwalinda, kazi kuvaa heleni na shanga viunoni, kuvuta bangi, kazi hamfanyi, maloya watemea mate angani, Mumekuwa watoto wabaya sana. Tena wewe mtoto mtoka pabaya, yaani mmezaliwa mkiwa mnawachungulia wazazi pupu zao shenzi zenu, mavi kabisa
 
Unakaa wap Mkuu Hadi unaogopa watoto wadogo panya roAd
Ndiyo maana watu wa Dar wanaogopa hadi Mende,Panya Road Hadi wavunje mlango na nyumba za Dar zimejengwa karibu karibu,mnashindwa kuwa na filimbi, mikuki,mapanga na shoka kwa wingi wenu kweli?
 
Ndiyo maana watu wa Dar wanaogopa hadi Mende,Panya Road Hadi wavunje mlango na nyumba za Dar zimejengwa karibu karibu,mnashindwa kuwa na filimbi, mikuki,mapanga na shoka kwa wingi wenu kweli?
Jirani akivamiwa wanafurahi kichinichini.
Mtaani ni beef ndiyo zimejaa.
 
Ndiyo maana watu wa Dar wanaogopa hadi Mende,Panya Road Hadi wavunje mlango na nyumba za Dar zimejengwa karibu karibu,mnashindwa kuwa na filimbi, mikuki,mapanga na shoka kwa wingi wenu kweli?

Panya Road huwa hawavunji nyumba, ilitokea wamevunja nyumba hao si panya ni kundi jingine la vibaka na majambazi!!

Panya wao hujipanga, wakiibuka wanafunga barabara mwanzo hadi mwisho!! Wanayekutana nae au maduka na bar ndiko wanakopita ndiyo wanawadandia!! Wanakuwa wengi sana

Ni vitoto vidogo kuvunja nyumba haviwezi!! Ndiyo maana kabla hujashtuka wanakuvamia na mapanga na nondo na kukusachi kabla hujasanuka. Vinajua vitaka maelezo kwa mtu mzima vitafeli!!
 
Ila nyie wazee wa daslamu mna vituko
Wazee wenzio wa huku mikoani wanapambana na simba au majoka makubwa na wanayaua.wewe lizee zima la Dar unaogopa panya Road?pathetic
 
Ninyi watoto tumeifikisha inchi hii hapa ikiwa na amani na mshikamano, nyie na uvivu wenu hata sungusungu mnataka na wazee waamuke kuwalinda, kazi kuvaa heleni na shanga viunoni, kuvuta bangi, kazi hamfanyi, maloya watemea mate angani, Mumekuwa watoto wabaya sana. Tena wewe mtoto mtoka pabaya, yaani mmezaliwa mkiwa mnawachungulia wazazi pupu zao shenzi zenu, mavi kabisa
We musee shika adabu yako, hizo ngonjera za "zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa CCM" zimekufanya uwe zuzu wa milele, sisi vijana wa leo hatuwezi kukubali ujinga huo mlioufanya, mafala kabisa nyie.

Sasa mnahenyeshwa na muigizaji tena demu eti ndio rais, mfyuu wajinga ndio waliwao

Panyaroad on the way to work, tunakuja leo
 
We musee shika adabu yako, hizo ngonjera za "zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa CCM" zimekufanya uwe zuzu wa milele, sisi vijana wa leo hatuwezi kukubali ujinga huo mlioufanya, mafala kabisa nyie.

Sasa mnahenyeshwa na muigizaji tena demu eti ndio rais, mfyuu wajinga ndio waliwao

Panyaroad on the way to work, tunakuja leo
Jitahidi uje pekeako nikufunye
 
Somo hapo juu linasoma.
Mimi ni Mzee na Nina familia ni kawaida kuchelewa kwangu, lakini pamoja na kui asa familia iwahi mapishi na kwa kuwa nafanya shopping ya two wiki, na maji choo na kila kitu ndani bado napata mashaka sana na hivi vishenzi a.k.a panyaroad.

Kwa kawaida nchi haipaswi kudharau hizi Growing Organized whether it's Criminal Groups ziwe za Kidini , za kijanii nk ni muhimu kupay attention.

Nashukuru serikali ilionesha kujali baada ya kamishina wa mkoa wa DSM kutia onyo. Ila askari wake sioni wakiwa serious.

Polisi jamii sio suluhu. Na sidhani kama serikali makin yenye askal na wasomi watabaki kuamini sungusungu can solve this horrible attack from silly child brain Dead
Nunua hata manati mzee mwenzangu ..unawatungua kwa mbali
 
Somo hapo juu linasoma.
Mimi ni Mzee na Nina familia ni kawaida kuchelewa kwangu, lakini pamoja na kui asa familia iwahi mapishi na kwa kuwa nafanya shopping ya two wiki, na maji choo na kila kitu ndani bado napata mashaka sana na hivi vishenzi a.k.a panyaroad.

Kwa kawaida nchi haipaswi kudharau hizi Growing Organized whether it's Criminal Groups ziwe za Kidini , za kijanii nk ni muhimu kupay attention.

Nashukuru serikali ilionesha kujali baada ya kamishina wa mkoa wa DSM kutia onyo. Ila askari wake sioni wakiwa serious.

Polisi jamii sio suluhu. Na sidhani kama serikali makin yenye askal na wasomi watabaki kuamini sungusungu can solve this horrible attack from silly child brain Dead
Sasa na wewe unachelewaga wapi?
 
Back
Top Bottom