Sina hamu na mahusiano (wamenikata stimu)

Kuna pisi moja nilikuwa naipenda sana ilibidi niiache kisa mishe kama hizo hizo

Anakuja ghetto halafu mzigo mgumu kutoa, japo alikuwa ananipenda sana pia

Popote ulipo J siku ukija kubadilika tutapasha kiporo πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜
 
Uapata tu ambae ni mzoefu hasubiri umvue wewe yeye anavua mwenyewe kwanza
 
Yesu na akutane na wewe. Amina
 
Nadhani unachotaka wewe ni kuambulia malaya. Watoto pisi kali ambao hawajazoea kupeana hovyo lazma wakue hivyo. Mbona mtoto mzuri wa kujiheshimu tu huyo uliyempata! Sasa unataka mara ya kwanza akufanyie style zote kisha kiustadi awe amezijulia wapi? Mrudie umzoeshezoeshe.
 
Ushauri from experience
BRO MWANAMKE ATAKUWA JINSI UNAVYOMTAKA YEYE AWE .HATA CHUMBANI WA AINA IYO USIWAHESHIMU SAANA HAYO MAENEO WAPE BOOSTER TREAT THEM LIKE YOUR BITCH.
 
Acha uzinzi tubu na umrudie muumba wako na hii tabia ya kula k mtapata michubuko muambukizane ngoma
Kosa langu nini kwani ???

Dunia hii kati ya kitu nakijua zaidi ni Neno la Mungu.
Ebu uwe unatokea na wewe kwenye jukwaa la dini tuwe tunaenda sawa.
 
Shida ni mbishi afu ubisha usio na sababu wala maana.
Haambiwi kitu yani akasikia.. mi nafanyaje sasa ?
 
Ushauri from experience
BRO MWANAMKE ATAKUWA JINSI UNAVYOMTAKA YEYE AWE .HATA CHUMBANI WA AINA IYO USIWAHESHIMU SAANA HAYO MAENEO WAPE BOOSTER TREAT THEM LIKE YOUR BITCH.
Shida ni mbishi afu ubisha usio na sababu wala maana.
Haambiwi kitu yani akasikia.. mi nafanyaje sasa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…