Sina hamu na mahusiano (wamenikata stimu)

Sina hamu na mahusiano (wamenikata stimu)

Ngoja nicheke kwanza ndio ntakuja kucoment[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jamaa sijui anapata wapi muda wa kucheza magemu?
Huenda umri unaruhusu.....
Ndo ulevi wangu, mwana kaja kunichukua nikamfunge FiFa, nimetulia sina mchongo naachaje kwenda sasa ??

Ulitaka nikakae kijiweni kupiga story ama?
 
Mkuu sex ni kama art, ni sanaa pana sana. Huwezi ukafika ukamshikashika na kuingiza mashine. Unatakiwa upandishe hisia zake juu haswa utashangaa anapata sexual energy style anabadili mwenyewe.
 
Sijisifii naongea humbly lakini nikiingia na mwanamke ndani asiponiambia nimuingizie mashine sifanyi hivyo mpaka awe submissive aonyeshe anataka. Kabla ya hapo ni maandalizi ya kuipandisha sexual energy yake.
Mwanamke ameumbwa tofauti na mwanaume, mwanaume sexual energy kwa kawaida ipo juu mno. Thats why hata ukikutana na mwanamke unamtamani at first sight, lakini wanawake energy yao inahitaji activation. Ndiyo maana wanaume wengi tunashindwa kuwapagawisha wanawake kitandani. Na kesi za kusalitiana kuongezeka. Mwanamke usipoactivate hisia zake ataona kama unampotezea muda tu.
 
Ukiwa nje mtreat kama mwanamke lakini ukifika chumbani, "Make her your bitch"
Thank Me Later.
 
Tatizo inaonekn sio wao, tatizo ni ww. Badili life style yako kwenye swala la mapenzi.
 
We mwenyewe unaonekana ngosha kwenye mapenzi
 
Sijisifii naongea humbly lakini nikiingia na mwanamke ndani asiponiambia nimuingizie mashine sifanyi hivyo mpaka awe submissive aonyeshe anataka. Kabla ya hapo ni maandalizi ya kuipandisha sexual energy yake.
Mwanamke ameumbwa tofauti na mwanaume, mwanaume sexual energy kwa kawaida ipo juu mno. Thats why hata ukikutana na mwanamke unamtamani at first sight, lakini wanawake energy yao inahitaji activation. Ndiyo maana wanaume wengi tunashindwa kuwapagawisha wanawake kitandani. Na kesi za kusalitiana kuongezeka. Mwanamke usipoactivate hisia zake ataona kama unampotezea muda tu.
HuJaKuTana na mwanamke non romantic wewe, ipo siku yatakukuta tu.
Imajini demu unataka kumpiga denda, hataki anakwepesha mdomo.. mimi nifanyaje sasa ?
 
Back
Top Bottom