Sina hamu na Mapenzi

Pia utakua na tatizo la kukawia kutoka bafuni ukiingia kuoga na ukitoka sabuni imeisha si ndio mkuu
 

Kikawaida Hali hiyo ikinitokea Mimi ujue Hali yangu dhoofu Hali,
Aidha sina nguvu za kutosha kumridhisha huyo Binti ndio maana naogopa aibu.
Pili, Uchumi wangu haupo vizuri.
Nikipiga hesabu ya kugharamia tukio hili Naona itakatika Tsh 50k alafu wiki nzima nimepiga pasi ndefu.
Hapo lazima nichimbe
 
Oshey mr [emoji383]
 
Mungu anakuepusha na mabarahaaa

Kuhusu kwenu kukufikiria vibaya

15-25 huu umri unakuwa na wasiwasi sanaa watu wanavokuchukulia

26-45 huu umri unakuwa hujali watu wanachuliaje

46 na zaidi utakuja ugundue hakuna hata mtu aliyekuwa anakufikilia

Mind your own business
 
huwa unapiga nyeto?

Yaweza kuwa hujiamini kwenye tendo. Unawasiwasi labda nawe umeathirika na nguvu za kiume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…