Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Watu tunaingia gharama na bado tunatoswa kupewa mbususu daaah! Kweli dunia haiko fair
Nicheke tu ila mnayotufanyia sio. Kama haunitaki nambie sio kula tu pesa zangu halafu naambulia kalenda mwisho wa siku kibuti 🤔
Nicheke tu ila mnayotufanyia sio. Kama haunitaki nambie sio kula tu pesa zangu halafu naambulia kalenda mwisho wa siku kibuti 🤔
Msione kidume kinatuma muhamala huwa zinatuuma sana tunakuwaga wanafiki tu pale mkisema "Asante babe nimeiona" tunaitikia "Usijali"Ela tunakula na hatukwambii😀
Kuna dawaAseme asaidiwe
Mimi ni kijana me umri miaka 29 naishi mkoa X shida yangu nakosa HAMU ya mpenzi au kufanya MAPENZI Ila Niko rijali kabisa tatizo nikitongoza tu mwanamke akanikubalia hapo nakuwa Sina HAMU nae Tena na siku tukipanga appointment aje geto kabla ya kufika naghairisha asije namwambia nimepata dhalula wakuu itakuwa tatizo Nini au Hali ya kawaida tu au nimerogwa inafika hatua mpaka nyumbani Wana wasiwasi na Mimi hawajawahi kuniona na mwanamke
Naomba kuwasilisha🙌🙌
ZipoKuna dawa
Dawa ni mood tuZipo
Huyo anatokea mademu wabayawabaya ndo maana hamu inakataKunawatu wanatamani hizo fursa za kukubaliwa ziwafikie😂
Walilala usingizi
Oshey mr [emoji383]Mimi ni kijana me umri miaka 29 naishi mkoa X shida yangu nakosa HAMU ya mpenzi au kufanya MAPENZI Ila Niko rijali kabisa tatizo nikitongoza tu mwanamke akanikubalia hapo nakuwa Sina HAMU nae Tena.
Na siku tukipanga appointment aje geto kabla ya kufika naghairi asije namwambia nimepata dhalula wakuu itakuwa tatizo Nini au Hali ya kawaida tu au nimerogwa inafika hatua mpaka nyumbani Wana wasiwasi na Mimi hawajawahi kuniona na mwanamke
Naomba kuwasilisha[emoji119][emoji119]
😂😂Msione kidume kinatuma muhamala huwa zinatuuma sana tunakuwaga wanafiki tu pale mkisema "Asante babe nimeiona" tunaitikia "Usijali"