Sina hamu na wadada wa kizungu


Juhudi za kumdunga mimba ziligonga mwamba?? 🤣🤣🤣🤣

Hao watu wanafundishwa kuji handle mapema sana, wako very technique kwenye mapenzi si wakukurupuka nao hovyo hovyo!!

Hapo ye alikuwa anaccount kama anafanya sex tourism na si vinginevyo!! Kabwela ukajua ushapata mke 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Pole sana
 
kwani hukujua kuwa ataondoka nchini siku moja? unaweza kumfata pia
Huku kwetu kuna msemo ni heri kulia kwenye range kuliko kwenye baiskeli, jifute machozi washa mkoko ulioachiwa nenda ukabarizi upepo beach bwana.
huyu Rukuku boy hana hata leseni 😀😀😀😀
 
Duh unabahat wewe jamaa unahongwa na mboga ya kizungu
 
Duh unabahat wewe jamaa unahongwa na mboga ya kizungu
 
Sasa mkuu umeachiwa vyote hivyo bado unalalamika? Na nguo zake kakuachia uvae... Sasa ulitaka akupe nini zaidi?
Itakua alitaka aachiwe na makalio ya kizungu yaliyopigwa pasi
 
Sipati picha utakapopiga hizo min skirt za kizungu[emoji23][emoji23][emoji23] kama dalili za kumuenzi. Ila tu usiwaze, mapenzi hayana umbali, utamfuata huko huko na maisha yataendelea
Duu ureno ntaendaje
 
Hasante ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…