Sina hamu na wadada wa kizungu

Mtimbie huko huko Ureno kama vipi mkuu, mwambie akutumie invitation letter itakusaidia kupata visa.

Halafu fanya upate nae mtoto, atawafanya msikimbiane kimbiane.

Naona Its like she didn't love you, she just needed some company and you were the best option, asingekuacha kiurahisi hivyo. Haya mambo bora uwe mguu ndani mguu nje yasikuumize meli ikizama.
 
Hasante kwa ushauri
 
Yeye kaendaje mkuu? Kwani amekwambia mahusiano yenu yaishe? Acha masihara mkuu, hujui namna ya kwenda nje then unafanya kazi internationally???
Sijui Kama naweza pata rehusa kazini maana muda mwingi ni jobs
 
Umaskini bana'et nguo unajaza lori'.haya vaa hizo nguo.
 
Uzuri wa JF hakunaga masikini
Wote wamejaaliwa
Wote wasomi
Wote wadada warembo
Wote mahandsome
Huyu nae hataki gari wala mazagazaga full ya kusukumia maisha ye anapenda penzi la Mudhungu!
We Mudhungu wewe MUNGU anakuona!!!
Nna uhakika Pm yako itakuwa bize sana mkuu maadam ushatangaza unafanya kazi shirika la kimataifa
na una usafiri na nguo kibao za kike za kujaza lori!
Kazi kwako na utuletee mrejesho!
 
Ila jaman haya makitu ni ya kuya practice kila wakati.Kidogo nianze kuona ni kitu cha Kawaida papuchi wakati imejishikiza kwn chura huyoooooo!daaah!
 
Wewe nazani ulikuwa umependa papuchi ya bule, si una jua dada zetu kuwamiliki ni ghalama kama unajali. Maumivu yote unayopata unawaza kurudi kwenye papuchi ya kughalamia.

Amekabia hakupendi tena. Na je alikotoka alikuwa hana bwana?

Kama vipi weka bajeti fuata mzigo huko huko aliko.
 
Ulipaswa useme mdada wa kizungu,siyo wadada. Sasa ulishindwa kumfanyia Jaza ujazwe mapema?!
 
Kama haujala mzigo mwambie admin afute uzi huu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…