Sina hamu na wadada wa kizungu

Sina hamu na wadada wa kizungu

Sasa gari utatransfer vipi ownership bila yy kuwepo...nahis chai haijakolea sukari
 
Ukisoma commet za Huku ndio utajua kua wabongo tuna njaa kiasi gani
 
Wakuu pole na shughuli za kila siku, Mimi ni kijana nafanya kazi kwenye kampuni moja ya kimataifa apa Tanzania.

Kutokana kuwa kampuni kuwa ya kimataifa uwa wanaletwa wafanyakazi kutoka maeneo tofauti duniani. mwezi wa pili mwaka Jana kuna dada aliletwa ni mzungu, basi alipangwa kwenye kitengo ambacho nipo Mimi.

Baada ya muda tulizoeana na yule dada yaani me ndo nilikuwa rafiki yake na kama ndugu, huyu dada alikuwa kapanga nyumba nzima apa Dar, baada ya muda mazoea yalizidi tulijikuta tushakuwa wapenzi, kwa kweli alinipenda na Mimi nkampenda, inshort tulienjoy na tukapeana promise kibao.

Mwezi wa 8 mwaka huu alipata safari ya kikazi akaniachia kila kitu ili niwe naviangalia aliniachia nyumba yake pamoja na gari, usiku wa tarehe 17 mwezi wa10 sitausahau kwani aliniambia ukweli kuwa ameamishwa kikazi na amepelekwa Lisbon-Ureno, aliniambia aliogopa kuniambia akiwa TZ eti ningeumia sana na huenda ningemfanyia ujuma ili asihame, nilipo muuliza Manager akaniambia kuwa yele dada ameamishiwa ureno na harudi tena bongo.

Yaani nimeumia saaaaaaana, yule dada akaniambia kila kitu alichoacha nichukue ameacha vitu vingi Kama Gari, nguo zake unaweza jaza Lori, na vitu vya ndani, fridge, computer, n. k na kuniambia nimwambie baba mwenye nyumba kuwa mpangaji wake harudi tena, kwakweli nimemjibu kuwa nilikupenda wewe hvyo vitu vyako sivipendi.

NB. Wanaume tusikurupuke na wasichana wa kizungu.


Pole, nipe anuani yako nikuletee chloroquine 30 umeze kisha uniachie hivyo vitu, wewe sepa mbinguni ukamsubiri huyo msichana.
 
Ndio nini sasa😂😂😂😂😂😂😂mfuate huko kwa vasco da gama kama unampenda sana...mfyuuuuuu!!!
 
Kama hauvipendi mwachie baba mwenye nyumba mkuu
 
Uzuri wa JF hakunaga masikini
Wote wamejaaliwa
Wote wasomi
Wote wadada warembo
Wote mahandsome
Huyu nae hataki gari wala mazagazaga full ya kusukumia maisha ye anapenda penzi la Mudhungu!
We Mudhungu wewe MUNGU anakuona!!!
Nna uhakika Pm yako itakuwa bize sana mkuu maadam ushatangaza unafanya kazi shirika la kimataifa
na una usafiri na nguo kibao za kike za kujaza lori!
Kazi kwako na utuletee mrejesho!
Unayowaza ni tofauti kabisa
 
Wewe nazani ulikuwa umependa papuchi ya bule, si una jua dada zetu kuwamiliki ni ghalama kama unajali. Maumivu yote unayopata unawaza kurudi kwenye papuchi ya kughalamia.

Amekabia hakupendi tena. Na je alikotoka alikuwa hana bwana?

Kama vipi weka bajeti fuata mzigo huko huko aliko.
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom