Sina hamu na wadada wa kizungu

Sina hamu na wadada wa kizungu

Wakuu pole na shughuli za kila siku, Mimi ni kijana nafanya kazi kwenye kampuni moja ya kimataifa apa Tanzania.

Kutokana kuwa kampuni kuwa ya kimataifa uwa wanaletwa wafanyakazi kutoka maeneo tofauti duniani. mwezi wa pili mwaka Jana kuna dada aliletwa ni mzungu, basi alipangwa kwenye kitengo ambacho nipo mimi.

Baada ya muda tulizoeana na yule dada yaani me ndo nilikuwa rafiki yake na kama ndugu, huyu dada alikuwa kapanga nyumba nzima apa Dar, baada ya muda mazoea yalizidi tulijikuta tushakuwa wapenzi, kwa kweli alinipenda na mimi nikampenda, inshort tulienjoy na tukapeana promise kibao.

Mwezi wa 8 mwaka huu alipata safari ya kikazi akaniachia kila kitu ili niwe naviangalia aliniachia nyumba yake pamoja na gari, usiku wa tarehe 17 mwezi wa10 sitausahau kwani aliniambia ukweli kuwa ameamishwa kikazi na amepelekwa Lisbon-Ureno, aliniambia aliogopa kuniambia akiwa TZ eti ningeumia sana na huenda ningemfanyia ujuma ili asihame, nilipo muuliza Manager akaniambia kuwa yele dada ameamishiwa ureno na harudi tena bongo.

Yaani nimeumia saaaaaaana, yule dada akaniambia kila kitu alichoacha nichukue ameacha vitu vingi Kama Gari, nguo zake unaweza jaza Lori, na vitu vya ndani, fridge, computer, n. k na kuniambia nimwambie baba mwenye nyumba kuwa mpangaji wake harudi tena, kwakweli nimemjibu kuwa nilikupenda wewe hvyo vitu vyako sivipendi.

NB. Wanaume tusikurupuke na wasichana wa kizungu.

Mkuu hata gari hutaki ?
 
Wakuu pole na shughuli za kila siku, Mimi ni kijana nafanya kazi kwenye kampuni moja ya kimataifa apa Tanzania.

Kutokana kuwa kampuni kuwa ya kimataifa uwa wanaletwa wafanyakazi kutoka maeneo tofauti duniani. mwezi wa pili mwaka Jana kuna dada aliletwa ni mzungu, basi alipangwa kwenye kitengo ambacho nipo mimi.

Baada ya muda tulizoeana na yule dada yaani me ndo nilikuwa rafiki yake na kama ndugu, huyu dada alikuwa kapanga nyumba nzima apa Dar, baada ya muda mazoea yalizidi tulijikuta tushakuwa wapenzi, kwa kweli alinipenda na mimi nikampenda, inshort tulienjoy na tukapeana promise kibao.

Mwezi wa 8 mwaka huu alipata safari ya kikazi akaniachia kila kitu ili niwe naviangalia aliniachia nyumba yake pamoja na gari, usiku wa tarehe 17 mwezi wa10 sitausahau kwani aliniambia ukweli kuwa ameamishwa kikazi na amepelekwa Lisbon-Ureno, aliniambia aliogopa kuniambia akiwa TZ eti ningeumia sana na huenda ningemfanyia ujuma ili asihame, nilipo muuliza Manager akaniambia kuwa yele dada ameamishiwa ureno na harudi tena bongo.

Yaani nimeumia saaaaaaana, yule dada akaniambia kila kitu alichoacha nichukue ameacha vitu vingi Kama Gari, nguo zake unaweza jaza Lori, na vitu vya ndani, fridge, computer, n. k na kuniambia nimwambie baba mwenye nyumba kuwa mpangaji wake harudi tena, kwakweli nimemjibu kuwa nilikupenda wewe hvyo vitu vyako sivipendi.

NB. Wanaume tusikurupuke na wasichana wa kizungu.

Ukivaa nguo zake mitaani Makonda atakukamata kama James Delicious
 
Wakuu pole na shughuli za kila siku, Mimi ni kijana nafanya kazi kwenye kampuni moja ya kimataifa apa Tanzania.

Kutokana kuwa kampuni kuwa ya kimataifa uwa wanaletwa wafanyakazi kutoka maeneo tofauti duniani. mwezi wa pili mwaka Jana kuna dada aliletwa ni mzungu, basi alipangwa kwenye kitengo ambacho nipo mimi.

Baada ya muda tulizoeana na yule dada yaani me ndo nilikuwa rafiki yake na kama ndugu, huyu dada alikuwa kapanga nyumba nzima apa Dar, baada ya muda mazoea yalizidi tulijikuta tushakuwa wapenzi, kwa kweli alinipenda na mimi nikampenda, inshort tulienjoy na tukapeana promise kibao.

Mwezi wa 8 mwaka huu alipata safari ya kikazi akaniachia kila kitu ili niwe naviangalia aliniachia nyumba yake pamoja na gari, usiku wa tarehe 17 mwezi wa10 sitausahau kwani aliniambia ukweli kuwa ameamishwa kikazi na amepelekwa Lisbon-Ureno, aliniambia aliogopa kuniambia akiwa TZ eti ningeumia sana na huenda ningemfanyia ujuma ili asihame, nilipo muuliza Manager akaniambia kuwa yele dada ameamishiwa ureno na harudi tena bongo.

Yaani nimeumia saaaaaaana, yule dada akaniambia kila kitu alichoacha nichukue ameacha vitu vingi Kama Gari, nguo zake unaweza jaza Lori, na vitu vya ndani, fridge, computer, n. k na kuniambia nimwambie baba mwenye nyumba kuwa mpangaji wake harudi tena, kwakweli nimemjibu kuwa nilikupenda wewe hvyo vitu vyako sivipendi.

NB. Wanaume tusikurupuke na wasichana wa kizungu.
Nikusaidie wazo jamaa yangu. Hawa wenzetu wako tofauti na sisi. Hicho ni kipimo kidogo tu kwako. Kama anakupenda kwa dhati,hivi anafanya mpango wa kimya kimya juu yako,hawezi kukuacha juu kwa juu kihivyo,niamini,ana mpango mzuri tu juu yako. Usiache kuwasiriana naye. Usichukulie hasira. Umemwambia vizuri kwamba ulimpenda yeye si vitu vyake. Hizo nguo chukua,zitunze hata mwaka tu,baada ya hapo,wagawie ndugu kama wapo,zinazowatosha,zingine zipeleke vituo vya watoto yatima. Mwambie nae unazipeleka kwa watoto yatima. Usionyeshe chuki kubwa dhidi yake. Vitu vingine vichukue tu endelea kuvitumia. Ila tu angalizo usikae ukabweteka bila kuendeleza mishe zako zingine. Yafanye maisha yako kama kawaida
 
Nikusaidie wazo jamaa yangu. Hawa wenzetu wako tofauti na sisi. Hicho ni kipimo kidogo tu kwako. Kama anakupenda kwa dhati,hivi anafanya mpango wa kimya kimya juu yako,hawezi kukuacha juu kwa juu kihivyo,niamini,ana mpango mzuri tu juu yako. Usiache kuwasiriana naye. Usichukulie hasira. Umemwambia vizuri kwamba ulimpenda yeye si vitu vyake. Hizo nguo chukua,zitunze hata mwaka tu,baada ya hapo,wagawie ndugu kama wapo,zinazowatosha,zingine zipeleke vituo vya watoto yatima. Mwambie nae unazipeleka kwa watoto yatima. Usionyeshe chuki kubwa dhidi yake. Vitu vingine vichukue tu endelea kuvitumia. Ila tu angalizo usikae ukabweteka bila kuendeleza mishe zako zingine. Yafanye maisha yako kama kawaida
Shukrani
 
acha umama arifu aisee we ni gani charii angu? Beba mazaga muhimu aliyokuachia hizo nguo zigawe hata kwa ndugu zako au peleka vituo vya wajane na yatima pia ikiwezekana mtokee father house mwambie akupe chenji ya kodi kama alilipia mwaka mzima na mkataba haukubana. Maisha yanaendelea akitokea mtishu mwingine nenda naye sawa ila kaa naye kimachale acha mambo za Romeo n Juliet mapromise kibaao kumbe mnachorana tu
 
acha umama arifu aisee we ni gani charii angu? Beba mazaga muhimu aliyokuachia hizo nguo zigawe hata kwa ndugu zako au peleka vituo vya wajane na yatima pia ikiwezekana mtokee father house mwambie akupe chenji ya kodi kama alilipia mwaka mzima na mkataba haukubana. Maisha yanaendelea akitokea mtishu mwingine nenda naye sawa ila kaa naye kimachale acha mambo za Romeo n Juliet mapromise kibaao kumbe mnachorana tu
Sawa. Mkuu
 
Ulikuwa humkuni vizuri mkuu lazima angeondoka na wewe,yaani huo uhamisho alivyoupata alishukuru sana kuwa mbali na wewe.
 
safi uliwakilisha taifa vizuri, chukua vifaa....
 
Yeye alikuwa anakutumia tu wakati yupo bongo shukuru walau amekuachia mtaji. Ukapime na ukimwi tu pengine hizo ndo zake, huko Ureno tayari keshapata jamaa mwingine.
 
Back
Top Bottom