kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Akiwa mwalimu wa kiswahili hilo ni janga zaid!! Maana kizungu tu kachapia mara kibao! Huko UD sijui alitokaje!
UD mbona majanga tupu?kama ana kadi ya ccm kwanini asitoke?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Komaa Huko Huko Usijipe Moyo Eti Upate TSD uhame! si kama unavodhani
Huwa hakuna vetting ya hawa walimu kabla hawajapangiwa hivyo vituo vya kazi? Kijana pambana Taratibu mambo ya shoti kati uliyokuwa umezoea huko hakuna mkuu. Unaanza chini tena kwa shida taratibu utazoea. Upo majita ipi labda ni kwetu nikupe details za watu hapo uwe unaenda japo kupata chochote cha kujikimu ilhali ukisubiria hayo mahela ya kujikimu
nipo bunda kaka asante kaka hata kunipa mori kidogo.
nipo bunda kaka asante kaka hata kunipa mori kidogo.
Ticha, hapo kwenye kizungu hapooooo ebu edit basi 'It doesn't make sense' badala ya it doesn't sense
Dr, bana ndo iko hivyo ukipata elimu lazima code mix&switch kawaida mbona hasa mimi.
ka udhungu ka mr ticha!!!! dah
... it doesn't sense ...