Sina hata morali kufundisha wajita hawa.

Sina hata morali kufundisha wajita hawa.

Mimi pia ni graduate wa UDSM economics mwaka 2011. Baada ya kuhangaika na bahasha niliamua kujiajiri katika kilimo cha mpunga. Sasa nina kampuni yangu ya ukandarasi nimeajiri na watanzania wengine. Umepata kazi unaringa mkubwa!! Jipe malengo aisee,daka kamshahara jiongeze katika kilimo miaka miwili mitatu unapiga chini hiyo kazi.
Kamata 480 hiyo angalia fursa huko,Kuna mwalimu alipangiwa Katavi juzi kati alikuja mjini kuchonga mizinga ya nyuki 120.
Jiongeze huko huko

kaka nilitaka nwajuze jinsi walimu tunakosa kuthaminiwa ila npo hapa ki target zaidi.
 
Back
Top Bottom