kagalala nkulungo
Member
- Dec 29, 2012
- 81
- 48
vumilia mwalimu hi ndo serikali yetu na hi ndo nchi yetu ambayo hatuna budi kuitumikia kwa ghalama yoyote ili tuinusulu kutoka kwenye anguko kuu linalotunyemelea kwa karibu. kama ukianza kukata tamaa mapema ukombozi hautapaikana kwani mwalimu ndio mkombozi wa kwanza kwani yeye hukomboa kwanza fikra na ukombozi mwingine huja baada ya mtu kujieleawa. wish you all the best teacher. usiogope ipo siku utashinda.
