Sina Imani na Akili ya Rais wa Yanga SC

Sina Imani na Akili ya Rais wa Yanga SC

Moho tuachie timu yetu, umezidi utapeii ondoka kuanzia sasa tuiendeshe wenyewe
 
Feisal ni mchezaji wa kawaida sana..msiyafanye mambo yawe makubwa sana.

Mchezaji amesajiliwa bila vipimo..hili nalo mbona hujalisemea kama jipu lingine?

TFF wajitahidi kuhamasisha upimwaji wa wachezaji, mafunzo na ujenzi wa academies za mpira kwa wachezaji wa ndani ili wakue katika misingi bora ya mpira, elimu ya mpira, na mikakati (technical and tactical) na mengineyo ya kiufundi ya mpira.

Hivyo ndivyo vinavyopandisha thamani ya mchezaji..na sio maneno ya midomoni.

Hio thamani aliyopewa ni kubwa sana kuliko uwezo wake..tusiwe wanafki.

Mtu ana concentration ndogo sana uwanjani..sometimes anazubaaga mno kwenye game...na hivi hajacheza siku nyingi..

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo makambo alikuwa bora sana kuliko fei
 
Feisal alishaapa kuwa hataki kurudi tena Yanga, je unataka Hersi aende kwa Feisal akambeleze? Unataka Hersi ndio akajishushe kwa Feisall kana kwamba hakuna wachezaji wengine?

Mkataba ambao Feisali alikuwa anaangaika kuuvunja, je alisainiwa na nani? Alilazimishwa kukubaliana na hiko kiwango cha mshahara?

TFF unaonaowalau wewe ulipaswa kutaja na vifungu vya sheria ambavyo TFF walishindwa kuvitafsiri au kushindwa kuvifuata. Ukiishia tu kulaumu pasipo kutaja makosa ya kisheria basi haijuii kuhusu sheria.
Hatutaki Hersi ajishushe tena wakati alishajishusha na kumuomba Feisali msamaha.
 
Mmmmh I smell something fishy here
Kozi nilichukua hapa kisha nikajiongeza mwenyewe , kula china hiyo.
IMG_20230608_221122.jpg
 
Kwahiyo makambo alikuwa bora sana kuliko fei
Kwahio unamaindi wachezaji wa nje kupewa hela nyingi kuliko feisal??

Kama haujui haujui tuu na utakaa hivyoivyo milele.

Hao wachezaji wa nje wamecheza klabu ngapi kabla ya kuja hapa bongo?? Thamani yao ipoje???

Wengine thamani yao ni kubwa zaidi..ila kwa sababu ya kasoro zao za nje ya mpira ndio maana wamefikia kucheza hapa bongo.

Morrison anajua sana soka..ila uchizi wake ndio uliomfukuzisha ligi ya sauzi..ila hakuishushi thamani yao.

Alafu tukisema tuwapime wachezaji wetu misuli, skills na talents walizonazo kimpira specific..utaona kuwa wana vitu vichache sana..au kawaida mno.

Nalaumu sana vipimo halali vilivyothibitishwa na FIFA kutokuwepo Tanzania...ndio maana mnapimia thamani wachezaji kimhemko.

Mnadhani mtu kama Ngolo Kante, Victor Wanyama, au Origi kwanini wanakuwa na thamani sana?

Jiulizeni kwanza kisha ndio muelewe.

Mi bila vipimo siez mpa mtu thamani ambayo hana.

Mpaka sasa hamjui thamani ya aziz ki na Yanga hawajui kumtumia vile inavyotakiwa..kiasi anaonekana hajui..

Hata Simba wasingejua kumtumia chama vizuri (kumtengenezea ufalme wake) mngemuona chama miyeyusho..hafai. (simaanishi kudribble pekee..namaanisha kumfanyia rotation ya key playing role na mengineyo)

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Nimejaribu kukufatilia kuona kama una hoja nimekuja kundua kuwa ni ushabiki ndio unaokusumbua. Timu inayoshuka daraja imewezaje kumtoa timu ya tatu kwenye msimamo wa ligi ya Misri? Au ligi ya Misri kwasasa haina ubora? Timu ipi iliyoshindwa kusafiri kipondi cha mechi za hatua za makundi?

Hapa umeonesha hisia zaidi

Pole
 
Huna akili wewe ni mbumbumbu ,mkataba ni makubaliano naona ya pande mbili hashikiwi mtu bunduki. Mbona ulaya Mane alikuwa anazidiwa mshahara na wachezaji wengi wa kawaida pale Liverpool ?
Kilichofuatia ni nini! Mane kuondoka siyo
 
Kwahio unamaindi wachezaji wa nje kupewa hela nyingi kuliko feisal??

Kama haujui haujui tuu na utakaa hivyoivyo milele.

Hao wachezaji wa nje wamecheza klabu ngapi kabla ya kuja hapa bongo?? Thamani yao ipoje???

Wengine thamani yao ni kubwa zaidi..ila kwa sababu ya kasoro zao za nje ya mpira ndio maana wamefikia kucheza hapa bongo.

Morrison anajua sana soka..ila uchizi wake ndio uliomfukuzisha ligi ya sauzi..ila hakuishushi thamani yao.

Alafu tukisema tuwapime wachezaji wetu misuli, skills na talents walizonazo kimpira specific..utaona kuwa wana vitu vichache sana..au kawaida mno.

Nalaumu sana vipimo halali vilivyothibitishwa na FIFA kutokuwepo Tanzania...ndio maana mnapimia thamani wachezaji kimhemko.

Mnadhani mtu kama Ngolo Kante, Victor Wanyama, au Origi kwanini wanakuwa na thamani sana?

Jiulizeni kwanza kisha ndio muelewe.

Mi bila vipimo siez mpa mtu thamani ambayo hana.

Mpaka sasa hamjui thamani ya aziz ki na Yanga hawajui kumtumia vile inavyotakiwa..kiasi anaonekana hajui..

Hata Simba wasingejua kumtumia chama vizuri (kumtengenezea ufalme wake) mngemuona chama miyeyusho..hafai. (simaanishi kudribble pekee..namaanisha kumfanyia rotation ya key playing role na mengineyo)

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Acha kuandika ligaazeti kwa swali dogo tu? Huyo makambo angekuwa bora angeachwa na yanga? Si mngemuuza kwa mabilioni ya pesa?
 
Feisal alishaapa kuwa hataki kurudi tena Yanga, je unataka Hersi aende kwa Feisal akambeleze? Unataka Hersi ndio akajishushe kwa Feisall kana kwamba hakuna wachezaji wengine?

Mkataba ambao Feisali alikuwa anaangaika kuuvunja, je alisainiwa na nani? Alilazimishwa kukubaliana na hiko kiwango cha mshahara?

TFF unaonaowalau wewe ulipaswa kutaja na vifungu vya sheria ambavyo TFF walishindwa kuvitafsiri au kushindwa kuvifuata. Ukiishia tu kulaumu pasipo kutaja makosa ya kisheria basi haijuii kuhusu sheria.

Hapo ndio unafeli Na kutoka kwenye hoja

Alilazimishwa kukubaliana Na hicho kiwango “
 
Acha kuandika ligaazeti kwa swali dogo tu? Huyo makambo angekuwa bora angeachwa na yanga? Si mngemuuza kwa mabilioni ya pesa?
Sio kila mchezaji anayeachwa na Yanga sio bora.

Yanga wana historia ya kurudia matapishi yao wenyewe...

Morrison ni Bora au sio bora?

Mbona aliondoka na mmemsajili tena??

Swali la kijinga sana hili...[emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Kwahio unamaindi wachezaji wa nje kupewa hela nyingi kuliko feisal??

Kama haujui haujui tuu na utakaa hivyoivyo milele.

Hao wachezaji wa nje wamecheza klabu ngapi kabla ya kuja hapa bongo?? Thamani yao ipoje???

Wengine thamani yao ni kubwa zaidi..ila kwa sababu ya kasoro zao za nje ya mpira ndio maana wamefikia kucheza hapa bongo.

Morrison anajua sana soka..ila uchizi wake ndio uliomfukuzisha ligi ya sauzi..ila hakuishushi thamani yao.

Alafu tukisema tuwapime wachezaji wetu misuli, skills na talents walizonazo kimpira specific..utaona kuwa wana vitu vichache sana..au kawaida mno.

Nalaumu sana vipimo halali vilivyothibitishwa na FIFA kutokuwepo Tanzania...ndio maana mnapimia thamani wachezaji kimhemko.

Mnadhani mtu kama Ngolo Kante, Victor Wanyama, au Origi kwanini wanakuwa na thamani sana?

Jiulizeni kwanza kisha ndio muelewe.

Mi bila vipimo siez mpa mtu thamani ambayo hana.

Mpaka sasa hamjui thamani ya aziz ki na Yanga hawajui kumtumia vile inavyotakiwa..kiasi anaonekana hajui..

Hata Simba wasingejua kumtumia chama vizuri (kumtengenezea ufalme wake) mngemuona chama miyeyusho..hafai. (simaanishi kudribble pekee..namaanisha kumfanyia rotation ya key playing role na mengineyo)

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app

Uzuri wa Mchezaji una upima vipi; ?


Nadhan Hata Ronald hawakujua namna ya kumtumia ndio maana akaenda arabuni,
Kama hiyo ndio hoja yako ya msingi .... basi sawa Morrison Na Aziz ni mzuri sana
 
Feisal; sina tatizo na maslah.
Masoud; kwahiyo tatizo lako ni nini?.
Feisal; Tatizo langu ni Rais wa Yanga!!,
masoud;Kwahiyo huna tatizo na mkataba wako na Yanga ?,
Feisal; Sina kabisa wala sina tatizo la mshahara.

Mashabiki wa KARIA FC; feisal anastahili kukipwa zaidi ya Aziz Key na Morrison😅😅, Bata waheed nyie.
 
Yani hii inamaanisha ulipiga screenshot kesho yake tangu niandike.

Ukaiweka kwenye device yako ikakaa zaidi ya mwezi ili uje uitumie leo.

Usikute kwenye simu yako ukafuta namba za wadeni wako ili hii picha ikae?
Niliisahau kuweka risiti mahala pake siku ile baada ya kizidiwa na furaha ,leo katika kusafisha na kuounguza vitu nikaikuta nikaona bora nimpe mwenyewe ajionee ndiyo alizokuwa anaota.
 
Kipindi fei anapewa ule mkataba na hile pesa kiwango chake akikua hiki Cha Leo alistahili na kipindi azizi ki anakunja ule mkataba na hile pesa alistahili kiwango chake akikua hiki Cha Leo kwahyo yote sawa tu eng rais yupo sahii 100%
 
Back
Top Bottom