Cathylin 2002
Member
- Jun 2, 2024
- 31
- 128
Mume wangu anataka kusafiri likizo njee za nchi likizo
Nina umia Sina imani na Safar yake anadai amepata mualiko toka kwa watu Walio mfadhiri masomo shule
Chagua tu maumivu yako unataka uyapatie wapi.Nje kugumu ndani kugumu,, where are we supposed to be 😫😫??????????
JF hatujafika huku plz rudi ulikotokea!Na wewe safiri uje kwangu nikupige miti
jibu la kibabe ili limepenya adi kwa mtima😆 asanteChagua tu maumivu yako unataka uyapatie wapi.
Wanawake mnashida sana,wewe jali ikiwa unakula na kunywa na mahitaji muhimu unapata,mambo ya kuhisi kuwa atachepuka huko aendako mwachie yeye.Mume wangu anataka kusafiri likizo njee za nchi likizo
Nina umia Sina imani na Safar yake anadai amepata mualiko toka kwa watu Walio mfadhiri masomo shule
🤣🤣🤣🤣nimecheka kwa sauti🤣 mwanaume ni kiumbe ambaye amelala na mkewe kitandani ila ana bargain K ya 40,000 na dada poa kwa simu🤣Mwanaume ni kiumbe kinaacha uchi wa mwanamke chumbani kwake na kuvuka mipaka ya nchi kufuata uchi mwingine. 🙈
Mapenzi ya leo ni ku assume ikijiwekea uhakika umeishajibu la kibabe ili limepenya adi kwa mtima😆 asante
Kasheshe😂 kwahiyo na mkeo akawe kiburudisho cha bosi wake ofisini na tusisikie umemchinja.Wanawake mnashida sana,wewe jali ikiwa unakula na kunywa na mahitaji muhimu unapata,mambo ya kuhisi kuwa atachepuka huko aendako mwachie yeye.
Kwa taarifa yako ni asilimia chache sana ya wanaume ambao hawana michepuko,na ukiona hivyo jua huyo mwanamme hana pesa(masikini) au mgonjwa,na asilimia 0.5 ni wale wanaoheshimu ndoa zao
Wanawake waliumbwa ili kutuburudisha sisi wanaume,toka kuumbwa kwa ulimwengu mwanaume aliamuliwa kuwa na wake wengi,sio mmoja,achana na mafundisho ya wazungu
duuuh sawa sawaMapenzi ya leo ni ku assume ikijiwekea uhakika umeisha
Mungu akutie nguvu na akupe moyo wa ustahimilivu...😊Mume wangu anataka kusafiri likizo njee za nchi likizo
Nina umia Sina imani na Safar yake anadai amepata mualiko toka kwa watu Walio mfadhiri masomo shule
Ni kweliMwanaume ni kiumbe kinaacha uchi wa mwanamke chumbani kwake na kuvuka mipaka ya nchi kufuata uchi mwingine. 🙈
Nature hairuhusu hivyo,kitendo cha mimi kutoa mahali basi ni ishara tosha kuwa huyo mwanamke ataishi chini ya matakwa yangu,nature imekipa nguvu kiumbe cha jinsia ME,angalia kwa wanyama na ndege,hiyo ndo asiliKasheshe😂 kwahiyo na mkeo akawe kiburudisho cha bosi wake ofisini na tusisikie umemchinja.
We ukaburudike na wa wengine alafu wako unamfungia ndani kama gearbox vipi🤣