Sina imani na safari ya mume wangu, naomba ushauri

Sina imani na safari ya mume wangu, naomba ushauri

Hujaeleweka Mkuu.

Bila shaka mumeo ni mtumishi. Sasa amepata likizo ipi? Ile ya kawaida ya siku 28 kwa mwaka ama likizo ya bila malipo kwa ajili ya masomo?

Hao waliomualika ni waliomfadhili, sawa. Ameshamaliza masomo ama ndiyo anaenda masomoni?

Wasiwasi wako ni upi Mkuu?
 
Mume wangu anataka kusafiri likizo njee za nchi likizo

Nina umia Sina imani na Safar yake anadai amepata mualiko toka kwa watu Walio mfadhiri masomo shule
Naona I'd mpya ya leo hii..
Kama mumeo ni Kiwembe hata asiposafiri ataendelea kuzichakata mbususu kama kawaida. So, usijichoshe bure
 
Mume wangu anataka kusafiri likizo njee za nchi likizo

Nina umia Sina imani na Safar yake anadai amepata mualiko toka kwa watu Walio mfadhiri masomo shule
Wanawake wenye wivu wa kijinga kama nyie mnarudisha maendeleo ya familia Nyuma
Eti sina Imani na safari ya Mume wangu
Unataka akae hapo muote Moto wa umasikini. Nilioa mwanamke kama hili
Nikalifukuzia mbali huko. Wivu mwingine unakuja kama upendo Kumbe Ni wakala wa shetani. Break through zinatokea badala ya kumuombea mwenzio afanikiwe anakoenda
Wewe huku Nyuma hupendi Moyo wako unawaka moto ndani Hiyo Ni roho ya kichawi. Ikatae hiyo roho.
 
Wife material kabisa, napenda wanawake wenye hofu kama wewe!
 
Nunua vernier caliper umpime marinda kabla hajaondoka
 
Back
Top Bottom