Sina kabisa mpango wa kutoa mkono wa sweta ( kutahiriwa) kwa sababu zifuatazo

Huo ni ujinga wa mwisho ,,,subiri utitiri wa magonjwa utakavyokuandama !!! Sikujua TZ bado kuna watu wa namna yako.
 
Supported mku!! Hata mimi nang'ang'aniwa na mademu sababu ya govi langu!! Silitoi ng'oooo
 
Birds of same feathers do flock together,hao mamanzi wako nao ni ngache tu kaa wewe apo soro.
 
hivi wasukuma tuna nini lakini[emoji854][emoji854][emoji854]
 
Hakunaga govi mwenye mademu wengi ivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…