FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Usikute hii ni ID ya paschal malaya kabisa.Nilipo ona tu jina la MAYALA ni muwakilishi wa jamii ya kabila fulani. Ambao hawana kawaida ya kutahiriwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikute hii ni ID ya paschal malaya kabisa.Nilipo ona tu jina la MAYALA ni muwakilishi wa jamii ya kabila fulani. Ambao hawana kawaida ya kutahiriwa.
When an idiot acknowledge the ignorance of another idiot. They make two perfect idiot'sSupported mku!! Hata mimi nang'ang'aniwa na mademu sababu ya govi langu!! Silitoi ng'oooo
Mna magovihivi wasukuma tuna nini lakini[emoji854][emoji854][emoji854]
Mtwara na Lindi hawapo kwenye hilo kundi wanaenda jando kwa wavulana na unyago kwa wasichanaUtakua Msukuma au mtu wa nyada za juu kusini au nyanda za songea, mtwara na Lindi maana katika ziara zangu za kimaisha nshaona sana MABANGO YA MATANGAZO ya kutahiriwa kama ambavyo sijayao Dar
Mtwara na Lindi hawapo kwenye hilo kundi wanaenda jando kwa wavulana na unyago kwa wasichana
Hata mimi sina mpango kwa kweli! Ninachokipata nakujua mwenyewe. Hawa walemavu waluokatwa bila kujua wanatumia nguvu nyingi kutufanya tujisikie vibaya ili na sisi tukate tufanane nao. HATUDANGANYIKIIIII.Mlijichanganya wenyewe mtuache wenzenu tufurahie[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Govi huwa linasugua kisawasawa papuchi
Lkn kuna madhara makubwa saana ya maambukizi
Govi lina pokea kiurahusi saana vidudu vya HIV kirahisi saana yaani unaupata bila hata mchubuko
Na magonjwa mengi ya zinaa huwa yanajificha ktk govi
Siku ugonjwa ukiibuka ujue imeshakomaa[emoji1321][emoji3603]
Tunaaminishwa tu na sisi tunaimba kama kwaya! Una ushahidi??Govi huwa linasugua kisawasawa papuchi
Lkn kuna madhara makubwa saana ya maambukizi
Govi lina pokea kiurahusi saana vidudu vya HIV kirahisi saana yaani unaupata bila hata mchubuko
Na magonjwa mengi ya zinaa huwa yanajificha ktk govi
Siku ugonjwa ukiibuka ujue imeshakomaa[emoji1321][emoji3603]
Namuuliza huyo anayesema kwamba usipokatwa unapatwa na magonjwa, ana ushahidi??Kwahiyo unapinga