Sina kabisa mpango wa kutoa mkono wa sweta ( kutahiriwa) kwa sababu zifuatazo

Hivi haya madude si ndio nasikia ukijisaidia haja ndogo lazima uoshe na maji vinginevyo yanatoa harufu kali...?
Kwa hiyo unamaanisha waislam wote wanaomaliza kukojoa wakajiosha hawajatahiliwa??
 
Mleta mada uko sahihi sana. Mwanamke asipokojoa kwa mwenye govi haji kukojoa maisha yake yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…