Sina kazi nashinda na simu muda wote

Tumia hyo simu Yako kupata network au connection Kwa watu siyo kuangalia akina mwijaku
 
Sina kazi nashinda na simu muda wote
Nipo nipo tu sina muelekeo wowote
Nimemaliza Chuo mwaka Jana
Lakini mpaka sasa hata Senti Moja Sina
Tulia dogo kama sio Dar rudi nyumbani utaja nishukuru kama wenzio..
 
Matajiri mna dharau sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ww hiyo boda ulinunua kwa kuuza maji ya kandoro??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…