Sina kazi nashinda na simu muda wote

Sina kazi nashinda na simu muda wote

Tumia hyo simu Yako kupata network au connection Kwa watu siyo kuangalia akina mwijaku
 
Ajirq zipo nyingi tu. Anza kwa kuuza Simu hiyo. Nunua ndoo za maji, vifuko na tengeneza maji ya kandoro na maji mengine uwe unauza kwa vikombe. Utapata pesa na acha kuliza humu JF huku umeweka Bundle na unatumia simu ya 600,000 Plus.

Pili, tafuta fundi uwe Saudia fundi bro. Acha kujifanya msomi. Pambana mitaani. Ukosjimdwa hiyo, niambie nikupe Mkataba lwenye pikipiki yangu uwe boda maisha yasonge mbele.
Matajiri mna dharau sana 😂😂😂
Ww hiyo boda ulinunua kwa kuuza maji ya kandoro??
 
Back
Top Bottom