Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
Au sio🚮 🚮 🚮 🚮
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au sio🚮 🚮 🚮 🚮
KabisaMtu kama huyu ni wa kumuonea huruma. Kuna kitu anapitia.
Hapa Mafisa kwa Mambi MorogoroBoda iko wapi? Maana mnaweza kuwa sehemu tofauti.
Jifunze kujenga nyumba (uashi) utakuja kunishukuruSina kazi nashinda na simu muda wote
Nipo nipo tu sina muelekeo wowote
Nimemaliza Chuo mwaka Jana
Lakini mpaka sasa hata Senti Moja Sina
Dogo huyo ana frustration maana sio kwa makasiriko hayo.Pole sana.
Jiunge na Utest mkuu upate angalau pesa za kulipa bills na ku spend.Sina kazi nashinda na simu muda wote
Nipo nipo tu sina muelekeo wowote
Nimemaliza Chuo mwaka Jana
Lakini mpaka sasa hata Senti Moja Sina
Mkuu, kiufupi, Mungu akubariki.Ajirq zipo nyingi tu. Anza kwa kuuza Simu hiyo. Nunua ndoo za maji, vifuko na tengeneza maji ya kandoro na maji mengine uwe unauza kwa vikombe. Utapata pesa na acha kuliza humu JF huku umeweka Bundle na unatumia simu ya 600,000 Plus.
Pili, tafuta fundi uwe Saudia fundi bro. Acha kujifanya msomi. Pambana mitaani. Ukosjimdwa hiyo, niambie nikupe Mkataba lwenye pikipiki yangu uwe boda maisha yasonge mbele.
Acha kujipraud
Maisha NI hatua mkuuMatajiri mna dharau sana 😂😂😂
Ww hiyo boda ulinunua kwa kuuza maji ya kandoro??
Jichanganye na watu mkuu ndyo mwanga utakuangaza kutoka gza kubwa na atilist utaona hatma ya kuongaza maono yako muombe Mungu akupe watu watakao kunyooshea rdhSina kazi nashinda na simu muda wote
Nipo nipo tu sina muelekeo wowote
Nimemaliza Chuo mwaka Jana
Lakini mpaka sasa hata Senti Moja Sina
Hela ya bundle unapataje dhumuni la bandiko hili,(Uzi huu) ni nini, why did you start this threadSina kazi nashinda na simu muda wote
Nipo nipo tu sina muelekeo wowote
Nimemaliza Chuo mwaka Jana
Lakini mpaka sasa hata Senti Moja Sina
Mkuu nipe idea ya online business napenda Sana kufanya nicheki 0744312003Me sijaajiliwa nimemaliza chuo mwaka 2020 degree ya industrial metrology and standardization, japo nina uhitaji wa ajira ila sijamua kukaa kinyonge.
Huwa nina msemo wangu kuwa SIMU YANGU OFISI YANGU.
Na kweli kupitia simu yangu nimeweza kufanya mambo mengi ya kimaendeleo ambayo ata watu wengine walio ajiliwa hawajafikia.
Kwasasa online business zimekuwa msaada mkubwa sana kwa vijana Hebu jaribu hilo chaka.
Uje kule tuongee mawili matatutuko pamoja
Kuhusu kujua vitu vingi au maarifa mengi inalipajifunze vitu vingi sana mpaka uwe mbobezi kwenye hivyo vitu yan uwe na uwezo wa kuvielezea kama expert halafu uwe consultant aka winga issue ni nyingi kuanzia electronics , viwanja , vyumba magari nguo nimeona wavuta bange wamekushauri uuze simu usiuze hio ndio ofis aka head quarters
umeona mkuu na hapo ni kuongea tu je wakimpa jambo alisimamie sivimilioni mjamaa anavutaKuhusu kujua vitu vingi au maarifa mengi inalipa
Kuna mwamba anajua mambo mpaka anatafutwa,akikaa na watu lisaa limoja kuongea nao analipwa kama laki moja au kasoro kidogo