Sina malengo naye lakini ukarimu wake unaniweka pazuri

Sina malengo naye lakini ukarimu wake unaniweka pazuri

ofisa

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2011
Posts
4,340
Reaction score
4,069
Salam,
Kuna dada anamiaka 30 ni mzuri,msafi na anajua kumiliki nyumba vizuri (mchaga)tatizo ni dini na kumwambia sina malengo nae nashindwa kwani kila nkichepuka nakutana na vitoto vidogo visivyo elewa maisha basi nabaki na mchaga wangu.ila natamani achepuke yeye nimuache na maisha yake haitokei hiyo nafasi,basi natamani niuze namba watu wamtokee wamuoe ila naona anaweza dondokea kwa matapeli wa mapenzi.sijui namsaidieje?
Ushauri.
 
Mkuu huyo ndio mwananke material kwako ila naona unafanya booking ya matatizo.
 
Salam,
Kuna dada anamiaka 30 ni mzuri,msafi na anajua kumiliki nyumba vizuri (mchaga)tatizo ni dini na kumwambia sina malengo nae nashindwa kwani kila nkichepuka nakutana na vitoto vidogo visivyo elewa maisha basi nabaki na mchaga wangu.ila natamani achepuke yeye nimuache na maisha yake haitokei hiyo nafasi,basi natamani niuze namba watu wamtokee wamuoe ila naona anaweza dondokea kwa matapeli wa mapenzi.sijui namsaidieje?
Ushauri.

nipe number yake nimcheki fasta
 
Anayafanya hayo kwako kwa sababu jua linaelekea kuzama kwa upande wake endelea kujipa hope unapendwa
 
acha kumchezea mkuu..uende kuna watu kibao wanamtokea ila anawakataa kwa ajili yako..bora umuweke wazi aendelee na hamsini zake

Wanawake hutakaga sababu ya maana kwa kila umwambialo mwanamke
 
Khaa!! ofisa kwani yeye kakwambia ana malengo na wewe?? Uza namba bana..
 
Salam,
Kuna dada anamiaka 30 ni mzuri,msafi na anajua kumiliki nyumba vizuri (mchaga)tatizo ni dini na kumwambia sina malengo nae nashindwa kwani kila nkichepuka nakutana na vitoto vidogo visivyo elewa maisha basi nabaki na mchaga wangu.ila natamani achepuke yeye nimuache na maisha yake haitokei hiyo nafasi,basi natamani niuze namba watu wamtokee wamuoe ila naona anaweza dondokea kwa matapeli wa mapenzi.sijui namsaidieje?
Ushauri.

Daima oa mwanamke anayekupenda siyo unayempenda wewe ilhali yeye hakupendi kwa ukamilifu....ganda kwa hiyo mama. utapata unayempenda na hakupendi kwa dhati utakujalia machozi ya damu.
 
umesema kikwako kikubwa ni dini..ushawahi kumwambia/kuliongelea hilo?
Hatujawahi lkn mama yake ni kiongozi wa dini na muhamasishaji mpaka saa tano usiku huwa anatoa huduma,huyu mwanae ni wa kwanza wa mwisho kazalishwa shuleni na mama amempokeea mtoti sasa sitaki niiuzi famili yao.
 
Kwa sababu ana miaka 30 au? So watu wa umri huo hawana real love?

Wengi wanajilengesha na kupretend tyu kwa nia kupata marriage hebu toka na mtu ground kwenye 18 mwisho 25 kama ana show full love kwa age hio take her but anajiliza liza kwako then miaka 33 au 35 doooh unaibiwa tyu apo ww vimba bichwa weka ndani ndo utaona shughuli yake
 
Khaa!! ofisa kwani yeye kakwambia ana malengo na wewe?? Uza namba bana..
Hajawahi lakini nimeanza ujenzi wa nyumba kwa mara ya kwanza naishani mwangu ananishauri vingi kama mke wangu.na vyengine huwa anaona mbali sana na kunishauri maana ana upeo mkubwa wa akili na ujanja wa kuzaliwa.
 
Back
Top Bottom