Sina malengo naye lakini ukarimu wake unaniweka pazuri

Sina malengo naye lakini ukarimu wake unaniweka pazuri

wengi wao huweza kuonyesha mapenzi ya kuzuga ila wakishaolewa uhalisia wao ndo huonekana. Kwahiyo jamaa lazima achunguze zaidi kama ni tabia yake au she behaves in such a way for the purpose.

Mbona me naona kama watu wa umri huo wanakuwa mature sana ingawa age has nothing to do with maturity? Like mtu ameshahangaika huko, kafanya starehe zake, so ameamua kutulia.

All in all ni suala la kumuomba tu Mungu akupe mtu sahihi kwa ajili yako regardless of her age. Uwe na uwezo wa kutambua Kwamba she is real, sio anafake kwa sababu ya ndoa. Coz hata below 25 wapo wanaofake ili waolewe tu
 
Mbona me naona kama watu wa umri huo wanakuwa mature sana ingawa age has nothing to do with maturity? Like mtu ameshahangaika huko, kafanya starehe zake, so ameamua kutulia.

All in all ni suala la kumuomba tu Mungu akupe mtu sahihi kwa ajili yako regardless of her age. Uwe na uwezo wa kutambua Kwamba she is real, sio anafake kwa sababu ya ndoa. Coz hata below 25 wapo wanaofake ili waolewe tu

Hiyo ni kweli Heaven Sent. Ndiyo maana nikasisitiza achunguze kama ana fake. Ila ni kawaida kwa wanawake wengi kwa umri huo kutafuta ndoa at any cost tofauti na msichana below 25.
 
Salam,
Kuna dada anamiaka 30 ni mzuri,msafi na anajua kumiliki nyumba vizuri (mchaga)tatizo ni dini na kumwambia sina malengo nae nashindwa kwani kila nkichepuka nakutana na vitoto vidogo visivyo elewa maisha basi nabaki na mchaga wangu.ila natamani achepuke yeye nimuache na maisha yake haitokei hiyo nafasi,basi natamani niuze namba watu wamtokee wamuoe ila naona anaweza dondokea kwa matapeli wa mapenzi.sijui namsaidieje?
Ushauri.

Aysee hutaki adondokee kwa matapeli wa mapenzi wakati wewe mwenyewe ni tapeli wa mapenzi yake..."hili nalo ajabu jingine
 
wewe unasema huna malengo nae? Malengo nae unayo tena malengo yako nikumchezea huyo mdada.....''usitumie pesa tumia akili'' kama ulijua humtaki kwanini ulimpamtongozo?Wewe hutaki ushauri sema unataka kufungulisha watu saumu zao paka weeee!
 
Hajawahi lakini nimeanza ujenzi wa nyumba kwa mara ya kwanza naishani mwangu ananishauri vingi kama mke wangu.na vyengine huwa anaona mbali sana na kunishauri maana ana upeo mkubwa wa akili na ujanja wa kuzaliwa.

Duh.., kweli kwenye miti hapana wajenzi!
Mkuu, inaelekea hujui unataka mwanamke wa aina gani maishani mwako. Muache huyo mwenye vision na ushauri mzuri ukaoe mwanamke wallet anayejua matumizi ya pesa bila kutakakujua zinatafutwaje!

Utajutaaaaaa kuzaliwa mwanaume!!

Swala la tofauti ya dini umesema hamjazungumza.., why..?! Yaelekea humpendi ndio maana umeweka bakaa mbele (kumsakizia/mtafutia visa ili umuache!). Waungwana huwa hawaendi hivyo!
Ushauri: Acha kuwa mnafiki, mueleze ukweli asonge mbele na maisha yake.
 
Aysee hutaki adondokee kwa matapeli wa mapenzi wakati wewe mwenyewe ni tapeli wa mapenzi yake..."hili nalo ajabu jingine
Shikwashikwa huyu hana marafiki wa siri ambao ni micharuko kama yule shemeji yako
 
Duh.., kweli kwenye miti hapana wajenzi!
Mkuu, inaelekea hujui unataka mwanamke wa aina gani maishani mwako. Muache huyo mwenye vision na ushauri mzuri ukaoe mwanamke wallet anayejua matumizi ya pesa bila kutakakujua zinatafutwaje!

Utajutaaaaaa kuzaliwa mwanaume!!

Swala la tofauti ya dini umesema hamjazungumza.., why..?! Yaelekea humpendi ndio maana ueweka bakaa mbele (kumsakizia kiza ili umuache!
Ushauri: Acha kuwa mnafiki, mueleze ukweli asonge mbele na maisha yake.
Noted lakini wakati ambao hata niacha kama mwana mkiwa.
 
Muoe huyo mchaga mwenye miaka 30,halafu utajua kuwa mwanamke umri ukifika miaka 30 ananyenyekea wanaume kama mtu anayeomba kazi halafu akipata anabadilika MAJUTO NI MJUKUU
 
Mwache mchaga apate anayempenda
najaribu kumfungulia njia tofauti tofauti ikiwemo kwenda kwenye hotel kubwa na kuuza sura kwa kunywa wine muda mrefu ili aonekane na wadau mbali mbali japo yeye anajua mi nafanya starehe tu.kama hapa nangoja pm na niwachunguze kabla y kutoa namba yake maana mi nampenda sana na sitaki aharibiwe.
 
wewe kwa sasa umepanga naye nini na yeye anaamini hayo ?
 
Muoe huyo mchaga mwenye miaka 30,halafu utajua kuwa mwanamke umri ukifika miaka 30 ananyenyekea wanaume kama mtu anayeomba kazi halafu akipata anabadilika MAJUTO NI MJUKUU
Ni mrembo balaa yaani asubuhi anakunywa maji ya moto na kulifanya tumbo lake lisiwe na manyama nyama,sura na uso mwembamba nakichwani humalizia na rasta kila leo.na umri wala sio tatizo tatizo umri wake utasonga mbele na mimi sina mpango wa kuoa,nilioa niliacha na ntaoa kwa niliyemuacha maana kero za ndoa kupitia jf naona ni zile zile tu
 
najaribu kumfungulia njia tofauti tofauti ikiwemo kwenda kwenye hotel kubwa na kuuza sura kwa kunywa wine muda mrefu ili aonekane na wadau mbali mbali japo yeye anajua mi nafanya starehe tu.kama hapa nangoja pm na niwachunguze kabla y kutoa namba yake maana mi nampenda sana na sitaki aharibiwe.

Hahahahah unakwenda naye unategemea atatongozwa au unamharibia kabisa.....we mwenyewe unamharibu
 
Ni mrembo balaa yaani asubuhi anakunywa maji ya moto na kulifanya tumbo lake lisiwe na manyama nyama,sura na uso mwembamba nakichwani humalizia na rasta kila leo.na umri wala sio tatizo tatizo umri wake utasonga mbele na mimi sina mpango wa kuoa,nilioa niliacha na ntaoa kwa niliyemuacha maana kero za ndoa kupitia jf naona ni zile zile tu

unaoa ulie muacha wakati muda huu anamtumia alie okota bidhaa iliyotupwa,unajua ametumiwa na wangapi ili kupunguza hasira za kuachwa
 
Hua nachukia sana mwanaume anakwambia hampend msichan na wakat yuko nae kumbuka hats ww unakopenda unaitwa boyaaa
 
Hajawahi lakini nimeanza ujenzi wa nyumba kwa mara ya kwanza naishani mwangu ananishauri vingi kama mke wangu.na vyengine huwa anaona mbali sana na kunishauri maana ana upeo mkubwa wa akili na ujanja wa kuzaliwa.

Muoe kk, ukimuacha utakuja kujuta, marry her age ni # tu, unaweza pata kabinti na ukaja kujuta
 
Back
Top Bottom