Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikuwa wanazamia tu kitakachokuwa ndo hichohichoWatoto wa 2000 unaulizia safari
Kwa kusitasita...
Wenzenu wakati ule mtu akitaka kutamba anatamba atajua mbele kwa mbele
Ova
Hapana sipitiiiii mtwara napitia Zambia au malawiNjia za panya ndio
Unapitia Mtwara unaenda Newala halafu unaingia Cabo Delgado
Ukijichanganya unakutana na hawa wa wazee, unawasalimia............
........halafu unaingia Zimbabwe na kukatizia Botswana
View attachment 3132878
Passport broMm huko naenda kwa mtu ni nduguu kabisa yupo Botswana 🇧🇼 na hata namba yake ninayo
Endelea kutafsiri mkuu🤣🤣🤣🙌??
Ova
Now niko kenya mm Botswana nitaenda nadhani January hapooBrother kama Botswana una mwenyeji huko Nenda fasta.
Na kama unakijielimu kidogo utakuja kulikumbuka jukwaa hili. Ila usizamie, tafuta nyaraka zote halali, wabongo tumelala sana fursa nyingi zipo nje huko, ndio wanachotuzidi Kenyans and Nigerians.
Una mwenyeji huko,sasa una sita sita nini kwenda tambaaEndelea kutafsiri mkuu🤣🤣🤣🙌
Ok safi sana....Now niko kenya mm Botswana nitaenda nadhani January hapoo
Tunaweza nikakupa mbwa wangu mmoja uongozane nae akaniwakilishe anaitwa Zuu Chu bado hajajifungua mpaka leo anaweza kusambaza mbegu hukolengo langu ni kufika 🇧🇼Botswana