nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Kuna jamaa alimwambia Idd Amin "This is a good joke......."Iko hivi wazee sina passport yeyote zaidi ya kitambùlisho tu. Sasa lengo langu ni kufika 🇧🇼Botswana. Nina mwenyeji hapo atanipokea.
Sasa je, naweza kupita vini na ni njia ìpi rahisi na bajet ni shingapi maana hiyo safari mm kwenda lazima na hapo Botswana nina mwenyeĵi.
Plz mwenye information ya hiii kitu aseme. Asanteni wako nasoma maoni yote.
Anyway unaweza kwenda ki stow away.....Cheki na washkaji wa MALORI hasa wanao kula NDUM