Sina passport yeyote zaidi ya kitambùlisho tu Je, nitafika Botswana?

Kuna jamaa alimwambia Idd Amin "This is a good joke......."
Anyway unaweza kwenda ki stow away.....Cheki na washkaji wa MALORI hasa wanao kula NDUM
 
Tafuta passport dogo acha ujuaji kwenye inchi za watu.
 
Kwasasa niko kenya mkuu nairobi
Sasa ulifikaje huko bila passport?? Wasafiri hapo Kenya ni wengi pia, ila uwe muangalifu ile ni nchi sio kama bongo ukiongea Kiswahili tu wewe ni mzawa haijalishi mkongo Mrundi also known as waha. Hata uhamiaji akikushika bongo ni Njurukwa tu. Botswana sio hivo.
 
Unaruka na ungo?
 
 
Nyakati zinabadirika. Naweza kukuunga mkono kwamba aende huko visa yake ikiisha ndio aishi kihuni but sio kwenda; why aende kihuni wakati passport inapatikana kirahisi hivo?
Mtanzania anaingia free Botswana. Visa labda zamani sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…