Utakuwa na giardiasisHabari za jioni ndugu zangu kwa kwl mwenzenu naadhirika kutokana na harufu ninayoitoa nkienda haja kubwa ni mbya kupita maelezo hata nitumie manukato vipi badoo yani sina raha nkitoka chooni nakuta watu wametoka nje kupunga upepo pia nnakuwa na harufu mbya jaman mke mpk anataaka kurud kwao tatz nn wakuu maana sasa iv nakata gogo saa tisa kila mtu kalala
Utakuwa na giadiasisHabari za jioni ndugu zangu kwa kwl mwenzenu naadhirika kutokana na harufu ninayoitoa nkienda haja kubwa ni mbya kupita maelezo hata nitumie manukato vipi badoo yani sina raha nkitoka chooni nakuta watu wametoka nje kupunga upepo pia nnakuwa na harufu mbya jaman mke mpk anataaka kurud kwao tatz nn wakuu maana sasa iv nakata gogo saa tisa kila mtu kalala
Umefanikiwa kuwachota watu akili....hongera kwa kutafuta kiki.Habari za jioni ndugu zangu kwa kwl mwenzenu naadhirika kutokana na harufu ninayoitoa nkienda haja kubwa ni mbya kupita maelezo hata nitumie manukato vipi badoo yani sina raha nkitoka chooni nakuta watu wametoka nje kupunga upepo pia nnakuwa na harufu mbya jaman mke mpk anataaka kurud kwao tatz nn wakuu maana sasa iv nakata gogo saa tisa kila mtu kalala
Kwani mkeo hadi unamuoa alikuwa anajua mavi yana harufu ya waridi hadi leo atake kurudi kwao?Habari za jioni ndugu zangu kwa kwl mwenzenu naadhirika kutokana na harufu ninayoitoa nkienda haja kubwa ni mbya kupita maelezo hata nitumie manukato vipi badoo yani sina raha nkitoka chooni nakuta watu wametoka nje kupunga upepo pia nnakuwa na harufu mbya jaman mke mpk anataaka kurud kwao tatz nn wakuu maana sasa iv nakata gogo saa tisa kila mtu kalala
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ulivyoandika, mh! wakati nasoma nimesikia kabisa harufu!...
Mkuu nikifart ni balaa sana kina harufu Kali sanaZinangatia ushauri wa kula matunda mara kwa mara na pia kunywa maji.
Zingatia pia kwenda haja kwa wakati, na sio kubana na kusubiri.
Lakini pia kitu kimoja rahisi sana cha kupima harufu ya choo chako, ni harufu ya fart yako. The more smelly the fart, the more smelly the stool.
Kufart mara kwa mara, kunasaidia build up ya gas ndani ya tumbo lako, na ultimately ukienda chooni, harufu itakuwa very minimal. Jaribu hii utaona matokeo yake.
Isijekuwa unakula vyakula kama vya fisi.Habari za jioni ndugu zangu kwa kwl mwenzenu naadhirika kutokana na harufu ninayoitoa nkienda haja kubwa ni mbya kupita maelezo hata nitumie manukato vipi badoo yani sina raha nkitoka chooni nakuta watu wametoka nje kupunga upepo pia nnakuwa na harufu mbya jaman mke mpk anataaka kurud kwao tatz nn wakuu maana sasa iv nakata gogo saa tisa kila mtu kalala
Fart sio one time thing, ni mazoea mkuu. Unavozidi kufart ndiyo tumbo linasafishika.Mkuu nikifart ni balaa sana kina harufu Kali sana
Uwe unakunya kichakani mala moja kwa siku afu uanze dozi ya matunda na maji mengi mpaka upone ndo urudi kunya nyumbani....(kampeni ya matunda kwa kinyesi bola)Habari za jioni ndugu zangu kwa kwl mwenzenu naadhirika kutokana na harufu ninayoitoa nkienda haja kubwa ni mbya kupita maelezo hata nitumie manukato vipi badoo yani sina raha nkitoka chooni nakuta watu wametoka nje kupunga upepo pia nnakuwa na harufu mbya jaman mke mpk anataaka kurud kwao tatz nn wakuu maana sasa iv nakata gogo saa tisa kila mtu kalala