AsanteeePole mkuu kwanza kabisa tengeneza juice nzito ya ukwaju mix na ubuyu kidogo ukipiga glass mbili au tatu baada ya nusu saa utaanza kuharisha siku nzima mpaka uchafu wote tumboni utaisha hii dawa itakusaidia kuflash kila aina ya uchafu tumboni ukimaliza hapo chunga unachokula halafu angalia quality ya chakula sio quantity penda Sana matunda matunda tofauti tofauti mbona utayafurahi mavi yako
Sioni shida na swali lake, ni zuri tu. Ila kuna wengine majibu yao yamepitiliza upuuzi, . . . japo wengine ni upuuzi wa kufurahisha tu"jokes"Ndugu yangu hivi hapa kweli ni right forum ya kuuliza swali kama hilo? are you not a great thinker?, ndiyo maana umepata majibu ya kejeri. Be serious bwana!!!!!!
That's so Rude!!!Aah tuna vtu vng vya kudili navyo...to a usenge wko hapa
Asante sana ntajaribuuPole sana kwa hayo matatizo unayoyapata.nakushauri kwanza usafishe tumbo kwa kula dawa za kuendesha,pili baada ya kusafisha tumbo anza kula fruit fruit ili uwe unapata choo laini na pia usisahau kunywa maji kwa wingi naimani baada ya wiki moja hali itakiwa ni mzuti sana.kuna dawa inaitwa habat muluk hii dawa imekaa kama punje ya karanga mbichi bc igawe kwa sehemu nne,hio sehemu moja inamaana robo tafuna ila utasikia kiu mchana wote na kichefuchefu lakini shughuli yake ni mzito,utaendesha mpaka uchafu wote utoke.kama mnywaji pombe sikushauri kutumia hio dawa na pia usizidishe dozi ni hatari unaweza zidiwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Habari za jioni ndugu zangu kwa kwl mwenzenu naadhirika kutokana na harufu ninayoitoa nkienda haja kubwa ni mbya kupita maelezo hata nitumie manukato vipi badoo yani sina raha nkitoka chooni nakuta watu wametoka nje kupunga upepo pia nnakuwa na harufu mbya jaman mke mpk anataaka kurud kwao tatz nn wakuu maana sasa iv nakata gogo saa tisa kila mtu kalala
Kwa hiyo hapo ndo umejibu kisomi?Pole ndugu naona watu wanajibu kienyeji enyeji tuu mara ulaji wa viporo mara mataputapu bila ya kujua kiini cha tatizo lako. Haiji akilini eti kila siku anakula kiporo au mataputapo.
1. Tatizo lako linatokana na abnomality ambayo imetokea mwilini mwako na kuna secretion ya hormone fulani inatolewa kuzidi kiasi ( over secretion) imbayo inataka kujaribu kupambana na tatizo linanotaka kujitokeza ndani ya mwili wako na ndio matokeo ya harufu hiyo mbaya. Wachina kwa kutumia tiba zao za asili huweza kunusa harufu mbalimbali zitokazo katika mwili wa mwanadamu na kujua ile harufu inamaanisha tatizo gani gatika mwili. Hivyo hiyo harufu mpaka imekuwa kero kwako sii sababu ya kula vibaya kama wengine wanavyodhani bali ni indicator inayoashiria kitu fulani kwenye mwili wako. Nenda kwa dactari aliyetulizana atakusaidia.
Daah jf kuna watoto mnazngua hahah...Vipi kaushuzi nako hakaui mbu kweli?