Sina raha kinyesi changu kinatoa harufu mbaya sana

Bwana Yule [emoji51][emoji51] unakunya afu unanusa unategemea Nini?

Ukinya tembea yatajijua
 
jaribu kutumia tridinazole . wafamasia ukiwaeleza wanajua doze
 
Kama kinyeshi kinanuka ujue wewe tajiri tayari kipeleke kwa watu wa gas unaweza kupata noti
 
mkuu kula kale kambegu ka wamasai kakusafisha tumbo,kanauzwa elfu 5 tu,
tahadhari: kula hicho kimbegu ukiwa home tu,kwa sababu frequency ya kuhudhulia toilet inaweza ikawa every after 5> mini
 
yaaani hakuna post niliwahi kuumia mbavu kama hii, jamaa anajiita bishoo halafu kitu kinanuka hahahahahahahahaahaha
 
Pole Mkuu Unatakiwa Ule Mbonga Za Majani Kwa Wingi Na Matunda,km Unakunywa Pombe Punguza Pia Ulaji Wa Nyama Bila Mpangilio Unaleta Choo Kibaya Chenye Harufu
 
Hiyo dawa ya mbu swafi. .kabla ya Kuala funga mapazia yote na jamba ushuzi mkaliii. .mbu wote watakimbia..utapata usingizi mwonono!
 
Hiyo ni dalili ya kinyesi kugeuka makinikia
 
Unakunywa balimi? Unavuta sigara?


Hakuna kinyesi kinanuka kama cha mnywa banana, wanzuki, na Balimi
 
Vipi mkuu hua unatumia vinywaji gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…