Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,164
- 6,540
- Thread starter
-
- #101
Asante sana. Mimi pia. Nahisi baadae ntapata madharaHiyo tunaita Mood disorder inakupelekea kua na mawazo mengi n kushindwa kufany mambo mengine
Ila sio kila bad mood ni disorder
Cha kuzingatia ni ujitahidi uimalize hiyo hali isijirudie ikifika ktk stage tunaita Dysthymic ambayo ni chronic ni mbaya sana
Madhara:ni mengi sana kwa hiyo hali mf.kuvunika moyo,kujitenga na jamii
Matibabu y hiyo hali yapo ila nafikiri wew hujafika hiyo stage ila muhim zingatia sana ujitahid hiyo hali isikuzoe kabisa dadangu ni hatari japo unaweza ona kawaida ila kwetu wasomi wa Psychology ni hatari sana.
AmenOk muombe Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi utapata amani tu
AsantePole
Asante sana. Na Amen kwa yoteMama Pole na msongo wa Mawazo.. Nakushauri kama Ni Mucha Mungu basi Sali Sana tena Sana pia usipende kujitenga na watu wako wa Karibu mara nyingine Upweke hupelekea hofu ya Kuishi.. Ongea na Mungu Akuepushie Hofu ya Mauti.
Mungu akubariki
Asante dearPole sana mamii, Mtangulize M/Mungu nae atakufanyia wepesi katika kila jambo
Ni jambo jema kama usingizi unaupata na unapumzika vya kutosha.Nalala tu mda wa kawaida. Siku zote. Saa now. Na kuamka saa kumi na mbili
Asante. Ila sijui kufanya meditation
hapana mkuuWe utakuwa mkatoliki ...
Nashukuru sana. Ngoja nifatilieNi jambo jema kama usingizi unaupata na unapumzika vya kutosha.
Jaribu kufuatilia ulichokuwa unafanya wiki 3 nyuma na unachofanya sasa hivi, ni nini kimeongezeka au kupungua.
Iwe kwenye vyakula, Dawa, mazingira yanayokuzunguka na watu pia.
Je tarehe ndani ya hizi wiki 3, zinakumbushia mambo yaliyotokea miaka ya nyuma yakakuumiza?
Pole sana.
Habari zenu.
Kama Week 3.zilizopita mpaka Leo. Nimekuwa ni mtu wa kuwa na wasiwasi mwingi,na woga. Kana kwamba. Nimefahamu kuna kitu kibaya mbele yangu.
Lakini sina tatizo lolote linalonisumbua.nakuwa ni mtu mwenye hofu sana. Na woga.
Hii hali inanifanya mpaka nisijisikie vizuri. Msaada inaweza Kuwa ni tatizo. Na nini kifanyike ili niwe kawaida.
Asante sana. Uzuri situmii pombeUsuwe na hofu hali kama hiyo inawatokea watu wengi unaweza kuimanage kwa njia ya mazoezi uwa yanaongeza feel good hormones na vile vile kwa kutumia imani yako ongeza muda wa kusali na kumuomba Mungu kamwe usitumie pombe kwani utakuwa unaongeza matatizo na kupoteza pesa zako
Kuna mda nawaza vibaya. Ila siwazi sanaaaMimi pia huwa inanitokeagaa ila huwa natokewa na hiyo hali nikifikiriaga jambo bayaa...
Km niliwahi kufikiria kipindi marehemu bibi yangu alivyokuwa hai tulivyokuwa tukipendanaa basi hapo hapo nakosa raha, sina amanii
Kwahiyo nsvyohisi utakuwa unamawazo unawaza vitu vibaya
Yani hata ungewaza nusu... Km nikitu ambocho kiliwahi kukuumiza lzm ukose raha uwe mnyongeeKuna mda nawaza vibaya. Ila siwazi sanaaa
Ni kweliYani hata ungewaza nusu... Km nikitu ambocho kiliwahi kukuumiza lzm ukose raha uwe mnyongee
Mm huwa inakuwa hivyooo lbd pia utakuwa na sababi nyingineeeNi kweli
umeota ndoto gani?, huzuni mara nyingi hujulisha tukio lisilo jema lijalo, au tukio baya ulilotenda na uhahitaji toba, au unahitaji utulivu ilikuskia kitu toka kwa MUNGU, kama wewe ni Mcha MUNGU ni vizuri kuomba angalau mara tatu kwa siku, ukiomba toba na kumsihi MUNGU nini kipo mbele ya huzuni hiyoHabari zenu.
Kama Week 3 zilizopita mpaka Leo nimekuwa ni mtu wa kuwa na wasiwasi mwingi na woga kana kwamba nimefahamu kuna kitu kibaya mbele yangu.
Lakini sina tatizo lolote linalonisumbua nakuwa ni mtu mwenye hofu sana na woga.
Hii hali inanifanya mpaka nisijisikie vizuri msaada inaweza kuwa ni tatizo na nini kifanyike ili niwe kawaida.
Habari zenu.
Kama Week 3 zilizopita mpaka Leo nimekuwa ni mtu wa kuwa na wasiwasi mwingi na woga kana kwamba nimefahamu kuna kitu kibaya mbele yangu.
Lakini sina tatizo lolote linalonisumbua nakuwa ni mtu mwenye hofu sana na woga.
Hii hali inanifanya mpaka nisijisikie vizuri msaada inaweza kuwa ni tatizo na nini kifanyike ili niwe kawaida.