Sina tatizo lolote lakini nakosa furaha na amani

Sina tatizo lolote lakini nakosa furaha na amani

Hiyo tunaita Mood disorder inakupelekea kua na mawazo mengi n kushindwa kufany mambo mengine
Ila sio kila bad mood ni disorder
Cha kuzingatia ni ujitahidi uimalize hiyo hali isijirudie ikifika ktk stage tunaita Dysthymic ambayo ni chronic ni mbaya sana
Madhara:ni mengi sana kwa hiyo hali mf.kuvunika moyo,kujitenga na jamii
Matibabu y hiyo hali yapo ila nafikiri wew hujafika hiyo stage ila muhim zingatia sana ujitahid hiyo hali isikuzoe kabisa dadangu ni hatari japo unaweza ona kawaida ila kwetu wasomi wa Psychology ni hatari sana.
Asante sana. Mimi pia. Nahisi baadae ntapata madhara
 
Mama Pole na msongo wa Mawazo.. Nakushauri kama Ni Mucha Mungu basi Sali Sana tena Sana pia usipende kujitenga na watu wako wa Karibu mara nyingine Upweke hupelekea hofu ya Kuishi.. Ongea na Mungu Akuepushie Hofu ya Mauti.

Mungu akubariki
Asante sana. Na Amen kwa yote
 
Nalala tu mda wa kawaida. Siku zote. Saa now. Na kuamka saa kumi na mbili
Ni jambo jema kama usingizi unaupata na unapumzika vya kutosha.
Jaribu kufuatilia ulichokuwa unafanya wiki 3 nyuma na unachofanya sasa hivi, ni nini kimeongezeka au kupungua.
Iwe kwenye vyakula, Dawa, mazingira yanayokuzunguka na watu pia.
Je tarehe ndani ya hizi wiki 3, zinakumbushia mambo yaliyotokea miaka ya nyuma yakakuumiza?
Pole sana.


Asante. Ila sijui kufanya meditation
 
Ni jambo jema kama usingizi unaupata na unapumzika vya kutosha.
Jaribu kufuatilia ulichokuwa unafanya wiki 3 nyuma na unachofanya sasa hivi, ni nini kimeongezeka au kupungua.
Iwe kwenye vyakula, Dawa, mazingira yanayokuzunguka na watu pia.
Je tarehe ndani ya hizi wiki 3, zinakumbushia mambo yaliyotokea miaka ya nyuma yakakuumiza?
Pole sana.
Nashukuru sana. Ngoja nifatilie
 
Habari zenu.

Kama Week 3.zilizopita mpaka Leo. Nimekuwa ni mtu wa kuwa na wasiwasi mwingi,na woga. Kana kwamba. Nimefahamu kuna kitu kibaya mbele yangu.
Lakini sina tatizo lolote linalonisumbua.nakuwa ni mtu mwenye hofu sana. Na woga.
Hii hali inanifanya mpaka nisijisikie vizuri. Msaada inaweza Kuwa ni tatizo. Na nini kifanyike ili niwe kawaida.

Usuwe na hofu hali kama hiyo inawatokea watu wengi unaweza kuimanage kwa njia ya mazoezi uwa yanaongeza feel good hormones na vile vile kwa kutumia imani yako ongeza muda wa kusali na kumuomba Mungu kamwe usitumie pombe kwani utakuwa unaongeza matatizo na kupoteza pesa zako
 
Usuwe na hofu hali kama hiyo inawatokea watu wengi unaweza kuimanage kwa njia ya mazoezi uwa yanaongeza feel good hormones na vile vile kwa kutumia imani yako ongeza muda wa kusali na kumuomba Mungu kamwe usitumie pombe kwani utakuwa unaongeza matatizo na kupoteza pesa zako
Asante sana. Uzuri situmii pombe
 
Mimi pia huwa inanitokeagaa ila huwa natokewa na hiyo hali nikifikiriaga jambo bayaa...
Km niliwahi kufikiria kipindi marehemu bibi yangu alivyokuwa hai tulivyokuwa tukipendanaa basi hapo hapo nakosa raha, sina amanii

Kwahiyo nsvyohisi utakuwa unamawazo unawaza vitu vibaya
 
Mimi pia huwa inanitokeagaa ila huwa natokewa na hiyo hali nikifikiriaga jambo bayaa...
Km niliwahi kufikiria kipindi marehemu bibi yangu alivyokuwa hai tulivyokuwa tukipendanaa basi hapo hapo nakosa raha, sina amanii

Kwahiyo nsvyohisi utakuwa unamawazo unawaza vitu vibaya
Kuna mda nawaza vibaya. Ila siwazi sanaaa
 
Habari zenu.

Kama Week 3 zilizopita mpaka Leo nimekuwa ni mtu wa kuwa na wasiwasi mwingi na woga kana kwamba nimefahamu kuna kitu kibaya mbele yangu.

Lakini sina tatizo lolote linalonisumbua nakuwa ni mtu mwenye hofu sana na woga.
Hii hali inanifanya mpaka nisijisikie vizuri msaada inaweza kuwa ni tatizo na nini kifanyike ili niwe kawaida.
umeota ndoto gani?, huzuni mara nyingi hujulisha tukio lisilo jema lijalo, au tukio baya ulilotenda na uhahitaji toba, au unahitaji utulivu ilikuskia kitu toka kwa MUNGU, kama wewe ni Mcha MUNGU ni vizuri kuomba angalau mara tatu kwa siku, ukiomba toba na kumsihi MUNGU nini kipo mbele ya huzuni hiyo
 
Habari zenu.

Kama Week 3 zilizopita mpaka Leo nimekuwa ni mtu wa kuwa na wasiwasi mwingi na woga kana kwamba nimefahamu kuna kitu kibaya mbele yangu.

Lakini sina tatizo lolote linalonisumbua nakuwa ni mtu mwenye hofu sana na woga.
Hii hali inanifanya mpaka nisijisikie vizuri msaada inaweza kuwa ni tatizo na nini kifanyike ili niwe kawaida.

Pole sana ila tunae mfalme wa amani naye ni Mungu wetu muombe Mungu amani atakupa maana ameshakwisha kudhibitisha kuwa yy ni mfalme wa Amani najua atakupa amani maana amesema Amani utupayo sisi sio kama vile ulimwengu utoavyo yohana 14:27 nakutakia amani na furaha katika jina la Yesu be happy mdada
 
Mi nikihisi sijielewi elewi. Stress n.k naimagine 'system yangu' imejam so narefresh. Narefresh aje sasa?
*let go off social medias.
*Nalala mapemaaa for a better next day.
*nabadili ulaji, unywaji na uvutaji.
*nakaa mwenyew tu.
Baada ya siku 1,2 tu za utulivu huo kama ni tatizo ntakuwa nshajua..nasolve nasonga mbele.
 
Back
Top Bottom