ZaBeast
JF-Expert Member
- Aug 17, 2015
- 777
- 331
moreen richadson, kitanda hakizai haramu. Huyo mtoto wa mumeo acha kujitesa kwa mawazo.
Ha ha ha badass
Attachments
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
moreen richadson, kitanda hakizai haramu. Huyo mtoto wa mumeo acha kujitesa kwa mawazo.
Kiukweli haiwezekani, zaidi ya kuhisi tu upande wa uchovu na harufu, ila ktk kei, huwezi jua! Inaweza ikawa imesinyaa tu au kupwaya kwa sababu zake! Ila usijaribu kabisa kumfanyia mr. Wako hivi, ni tusi kubwa sama na Mungu atakuadhibu!
[MENTION=50658]Hivi hujagundua leo humu wanaume wote ni watakatifu a.k.a mashahidi wa jehova.
km kuchepuka wacha wachepuke ila hili la kumletea mtu mtoto asie wake alee as if ni wake,, huu ni UVUNJAJI WA HAKI ZA WANAUME!!
wanawake wa aina hii hata sijui wapewe adhabu gani
Hapa chupi zinateleza tu wapo kwa michepuko ila hapa kujitia kina sister Maria na kina pastor john
pambafff zao mxyuuuu na dole la kati nimewanyooshea
Hapa ukiangalia zaidi ya wanaomsapoti huyu mwanamke wengi wao ni
. Kundi moja wote vuruka njia,
. Wameachika,
. Wamezalisha na kuachwa sababu ya kurukia mambo,
. Makahaba.
. Ktk hali ya kawaida huwezi kuunga mkono ushenzy huu.
Naomba bastola yangu kwenye chaji pale nifumue mtu ubongo.............hawa watu ndo wanafanya dunia inakuwa siyo mahali salama pakuishi na joto kuongezeka
Kumbe wanaosema mama ndiye anajua baba wa mtt hawako sawa!
Inawezekanaau ni wewe nini mkuu?
Mkuu Mgirik post yako #85 ina sh*t na points za maana sana...wanawake waliosoma ni mtihani ktk ndoa,(si'wote),juzi kati nlisoma humu jamaa wa kikenya akiomba ushauri kupata pesa alizomkopesha mfanyakazi mwenzake mke wa mtu,m/mke alimvulia ch*pi huku ana mimba ya miezi saba jamaa akapigia ofisini na wakati huo mmewe yupo nje kwenye parking anamsubiri mkewe waondoke home..ni mtihani sana kaka..
Kaa nao chini wote wawili uwahoji na uwaeleze ni lazima mwenye mimba ajiweke wazi la sivyo unatumbua jipu!! Ukiwa serious na ukaonyesha sura ya mbuzi atajitokeza tu!!
Mweee leo wanawake tutakula za uso, Kila mtu anaghairi kuoa eti mwee. Sawa kakosea sana lakini ndo isiwe fimbo ya michongoma sasa, mnatuzibuaje. Akikosea mwanamke mmoja wote mnaghairi kuoa, mbona akifanya zuri mwanamke mmoja, hamuwi inspired kuoa?
Kibao kikigeuziwaga kwenu mnaona mnaonewa sana teh nicheke kama mazurisuala la kuwa na mchepuko hilo linajulikana na wote tunatambua ndio maana japo tunakuta hamna bikra lakn tunaoa wakat huo tunajua hyo bikra haikutoka yenyewe.
Na unafki ni kama alioufanya huyu mtoa maada anamwita hubby huku anamletea watoto wa nje. Ilitosha achepke basi lakn angemheshimu kwa kutomletea damu za watu wa nje.
.
Wakorintho wa kwanza 6; 18-20
Ikimbieni zinaa. Dhambi nyingine zote atendazo mtu ziko nje ya mwili wake, lakini yeye aziniye hutenda dhambi ndani ya mwili wake mwenyewe. Je, hamjui ya kwamba miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu, akaaye ndani yenu, ambaye mmepewa na Mungu? Ninyi si mali yenu wenyewe, kwa maana mmenunuliwa
kwa gharama. Kwa hiyo mtukuzeni Mungu katika miili yenu na katika roho zenu ambazo ni mali ya Mungu
Bado hujaolewa?