Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tushawazoea nyie bana, so hamtusumbui. Na uzuri ni kwamba wengi wenu mtaoa tu. Ni kumwomba tu Mungu akupe mke mwema, mbona hata kwenye uchumba tu huku mnalizwa haswakwa hali hii shem ni bora niendelea kupika mwenyewe, kufua kuosha vyombo na nk... Lakini kwa hali hii bado sana
Teh yani siamini kama yale mazuri yetu hata kidogo yamefutika leoWe acha tu wanaume wote leo ni wateule wa Mungu.
mtu anaposoma hadi mpaka kufikia degree jamii inatambua kuwa ni msomi na anaweza kuwa suruhisho kwa ambao hawajosoma.
Lakn hyo ni tofauti hawa wanawake wasomi ndio sehem ya tatzo japo sio wote lakn malaya kupindukia. Ni bora ukaoe kahaba yawezekana anajiuza kwa shida na ukimpa mtaji anaweza asiendelee na tabia yake.
Ndio maana mm niliapa kutooa mwanamke aliyemaliza chuo chochote kile. Maana hamna la maana.
sasa kama hili limesoma lakn bado zero. Kwanza halijui hata mzunguko wake, pili ni limalaya halina hata akili, tatu halijui kwann linafanya ngono. Kama lina kaz, lina mume , lina uwezo wa kupata pesa bila kuhongwa lakn bado linagawa uchi. Hii aibu
Tushawazoea nyie bana, so hamtusumbui. Na uzuri ni kwamba wengi wenu mtaoa tu. Ni kumwomba tu Mungu akupe mke mwema, mbona hata kwenye uchumba tu huku mnalizwa haswa
Tushawazoea nyie bana, so hamtusumbui. Na uzuri ni kwamba wengi wenu mtaoa tu. Ni kumwomba tu Mungu akupe mke mwema, mbona hata kwenye uchumba tu huku mnalizwa haswa
Daah shem sio kwa unavyotaka kunifanyia hakyanani. Nimeongea tu wala sikuwaza kama ntakugusa issue yako. Siwezi nikakucheka kwa sababu sijui kesho mimi yatanikuta yapi. Sorry kama umeelewa tofauti ila Mungu ananiona, sijakudongoa hata.haya bhana naona matatizo Yangu yamekuwa majibu ya kuhalalisha hili lililotokea.. Nimelikubali dongo lako na kulipokea kwa Mikono miwili
Kwani huku kwenye urafiki tu hakuna watu wamebambikwa mimba? Jamani ni kumuomba tu Mungu akupe mtu sahihi, bila hivyo tutalia kila sikuUsichanganye kuoa na kuwa na mtoto!
taratibu mgiriki mpe ushauri dada, usikute hata ni ndugu yako si unajua humu hakuna anae mjua mwenzie
huyo mume naye ni mpumbavu sana, hivi anashindwaje kugundua hilo? Labda iwe kama ni Stori.. Lakini mimi hata ugegedwe majuzi nitajua tu
Tushawazoea nyie bana, so hamtusumbui. Na uzuri ni kwamba wengi wenu mtaoa tu. Ni kumwomba tu Mungu akupe mke mwema, mbona hata kwenye uchumba tu huku mnalizwa haswa
Daah shem sio kwa unavyotaka kunifanyia hakyanani. Nimeongea tu wala sikuwaza kama ntakugusa issue yako. Siwezi nikakucheka kwa sababu sijui kesho mimi yatanikuta yapi. Sorry kama umeelewa tofauti ila Mungu ananiona, sijakudongoa hata.
Daah siku zote mwanamke na mwanaume hatuwezi kuwa judged sawa, ndo maana wao wanaitwa marijali afu sisi tunaitwa malaya. But I wish kila mmoja wetu angejua usaliti unavyouma na kuharibu familiaMi naona sawa tu kila mtu akipata mnyonge wake naiwe hivyo wanaume wangapi wanatoka kulala na mchepuko na jioni wife akitaka anapewa?
Na hapa utakuta watukanaji na washangaaji nao wametoka kutiana na michepuko yao
ila huyu ndo anaonekana mkosaji