Since 2005, Kenya has spent a cumulative $8.8 billion (Sh884billion) on military hardware

Since 2005, Kenya has spent a cumulative $8.8 billion (Sh884billion) on military hardware

Kenya ndo iliaza ku train wanajeshi wa Somalia, next round Uganda ika train wanajeshi wengine....Ikawa imefika chance ya Tz kutrain wengine.. Serikali ikawa imekubali mwanzoni...watanzania wakaanza kulia lia na kuomba serikali yao isifanye hivyo..... Alshabaab wakatoa onyo kali kwa Tanzania kujiingiza kwa mambo ya somalia..... Sema tanzania kueka mkia katikati ya miguu na kuficha kichwa chini ya mchanga!
Mpaka wa leo hatujawai skia serikali ya tz ikiongea lolote kusu hilo jambo au hata kuhusu somalia....... ha, the Coward of the county
 
Safi sana, hii dunia sio ya kuchekea, lazima tuendelee kuwa tayari na kila aina ya zana za vita.
 
Kwikwikwikwi. Hao Al Shababu wala sio magaidi. Ni wanamgambo tu wamewatoa tumbo joto mnalialia kama watoto yatima.
Jeshi lenu ni nyoooooonge mno.
i seriously need to know your age....I can bet ukienda sana uko 20
 
Annael
we ni nothing but a fanatic, out of touch with your own reality
muulize muamerica kwanini alikimbia somalia, muulize muithopia kwanini baada ya kushinda vita 2005 na kufika hadi kismayu alijitoa na kurudi nyumbani bila kusherehekea kuregesha amani

Hata haujui tofauti ya gaidi na mwanamgambo, I sujjest ujielimishe kwanza alafu urudi.. hapa si kule DRC mlienda kubaka watoto hadi ikabidi mfungiwe ndani ya kambi... mlituaibisha kweli kama nchi ya kutoka upande wa mashariki mwa africa, kuna vitu vyengine bana si vyakufanya na mwanadamu yeyote
Kwikwikwikwikwi acha nicheke kabisa yaaani Marekani iliwakimbia Al Shababu!!!!? Hebu acha utoto bana be realistic ndugu.
Acha kutoa visingizio visivyo na maana. Nyie mnataka kujipima ubavu kwa vitu ambavyo haviwahusu ona sasa mnavyo chinjwa kama kuku. Zaidi ya wanajeshi 1000 wameshauawa huko Somalia halafu mnakuja kupiga porojo hapa JF,

Jeshi lenu ni dhaifu mno. Jifunzeni TZ kufanya mambo kidiplomasia sio huo ujinga mnaoufanya. Kwani kuna ulazima wa jeshi lenu kwenda somalia kama sio upuuzi tu na utoto kwamba mjaribu na nyie kupigana.

Acheni ushamba jeshi lenu bado changa sana. Halina strategy, limejaa ukabila na tamaa ya mali. Linatumiwa na wanasiasa kwa manufaa yao.

Ukifuatilia utaona kuwa huko somalia mnauana nyie kwa nyie. Mfano tunao pale wastegate mnaanza kupigana ninyi kwa ninyi badala ya kuokoa watu. Acheni ukabila kwanza ndio mjaribu kusimama kama jeshi.
 
Safi sana, hii dunia sio ya kuchekea, lazima tuendelee kuwa tayari na kila aina ya zana za vita.
Hapo nimewapa mfano tu. JWTZ ni namba 27 duniani.
 
Hapo nimewapa mfano tu. JWTZ ni namba 27 duniani.
hehe, kweli wa tz ni bongolala,bado zile propaganda za ujamaa zimewajaa kichwani, kushawishiwa na serikali ya CCM ni rahisi sana.
kama nyi number 27 basi sisi tulituma watu kwa mars.....

number 27, hapo umejieka mbele ya philipines,bangladesh, belgium, belarus, south africa,, maleyasia,
 
hehe, kweli wa tz ni bongolala,bado zile propaganda za ujamaa zimewajaa kichwani, kushawishiwa na serikali ya CCM ni rahisi sana
bwahahahaha. Familia ya kenyatta itawakamua mpaka mtabakia mifupa. Huoni hata aibu wewe. Kenya ni moja ya nchi ya watu wenye uwezo mdogo sana wa kung'amua mambo.

Wewe hapa unaleta matangazo ya matumizi ya jeshi huku jeshi lako likipukutika hovyo hovyo kule somalia mbele ya wanamgambo wasio hata na chakula.

Kenya nyie ni wadhaifu sana yaani jeshi lenu ni wanyoooonge na tena wamelegea legeeee kama mrenda.
Kwikwikwikwi. Miaka hii mtatukoma mpaka mtaomba po. Tunawabana kila kona mpaka mtuite kaka mkubwa.
 
, spain, mexico... hizo ni kadhaa tu ambazo ziko kichwani ambao majeshi yao ya nguvu lakini hawafikii hata yop 30..

JWTZ haliko hata top 100 duniani... nyinyi ni zile nchi ata hua hazikumbukwi
 
, spain, mexico... hizo ni kadhaa tu ambazo ziko kichwani ambao majeshi yao ya nguvu lakini hawafikii hata yop 30
Waje kufanya nini hapo somalia!!!? Nyie mmejitakia wenyewe wakati hamnauwezo wa kupigana.
Unajua Spain wewe au kwa sababu umepata mahindi ya msaada kutoka Tanzania na umekula na kushiba ndio unakuja kupiga kelele hapa!!?

Nashangaa sana nyie wadogo zetu kenya mnavyo jifananisha na mataifa makubwa wakati ubavu hata wa kupigana na wanamgambo hamuna.

Ondoeni majeshi yenu huko na hakuna atakaye wafuata. Halafu Wasomali muwarudishie eneno lao muone kama hamutaishi kwa amani.

Mnatafuta fujo tu kila sehemu. Mara mnagombana na Uganda kuhusu kisiwa cha migingo, Mara mnagombana na S. Sudani kuhusu pale triangle, Mnagombana na Ethiopia kuhusu mpaka na Mnataka kugombana na giant wa Vita Tanzania. Nyie mtaishi na jirani gani? Washamba nyie wacha mcharazwe mpaka akili zirudi.
 
Nani muuzaji mkubwa silaha kwenu? Sammuel999
USA Germany na South Africa

Kenya has 306 tanks Tanzania has 75

Wacha Annael ajibambe tu!!

Nimechoka ku argue na fala

Kenyas annual military budget ni 2.21bn$.
Tanzania ni 347mn$

Kenya tuna american fighter jets hapa naona fala anaringa na za china sijui nianzie wapi ....wacha ajibambe
 
Hapa kazi tu. Hatutaki longo longo za wakenya maneno meeengi kazi zero. Work = Force x Distance
Kama upo na force na distance ni zero then workdone = zero. Ndio Jeshi nyoooonge la kenya linavyofanya
View attachment 418550 View attachment 418551 View attachment 418552 View attachment 418553
Are this fighter jets even able to fly anymore???

SMH si ukalishe ushamba
1476545770769.png


1476545787198.jpg


KDF FIGHTER JETS AND PILOTS
1476545849168.jpg
1476545796218.jpg
1476545799404.jpg
1476545802729.jpg
1476545808048.jpg
 
USA Germany na South Africa

Kenya has 306 tanks Tanzania has 75

Wacha Annael ajibambe tu!!

Nimechoka ku argue na fala

Kenyas annual military budget ni 2.21bn$.
Tanzania ni 347mn$

Kenya tuna american fighter jets hapa naona fala anaringa na za china sijui nianzie wapi ....wacha ajibambe
kwikwikwikw. Hizo za marekani zinawasaidia nini sasa? Hiyo Budget kubwa ni kwaajili ya nini sasa?
Kwanini wanajeshi wenu waibe huku budget yenu kubwa!!!!!.
Hiyo budget ya TZ umeitoa wapi? Je umeitoa kwenye Government ya TZ? au umeamua kujisifia tu?

Umeviona vitungua ndenge hivyo. Jaribu TZ uone. Tunaweza kuweka kobora juu ya mlima kilimanjaro na kuiteketeza Nairobi ndani ya sekunde tano.

Je wewe unaweza fika dar au dodoma? How?
Nyie kenya ni very weak country.
 
We have russia building attack Helicopters to specifically sell them to kenya

Kenyas military budget is equal to Ukraines military budget
Kama mnafikiria vita ya somalia ni same na Country vs Country just declare war in kenya muone tutavyo wamaliza na masiku!!

Hatutajali itakuwa kuwanyeshea kutoka angani na baharini somalia tunaomba ruhusa kufanya airstrikes but hyo hatutakuwa tunaomba ruhusa itakuwa airstrikes upon airstrikes
Ndio mtatambua vyema mko mbali sana tanzania
1476546773157.png
1476546778533.png


1476546930972.png
1476546942273.png
1476546954017.jpg
1476546969275.jpg
1476546990963.jpg
1476547008486.jpg
 
Just try Kenya and see CCM inawachocha waTZ na tuvifaa tudogo mnaona aaaah tuko mbali ....hamko karibu!!!

Kenya has 3-4 times the number of tanks tanzania has!!

Kenya has more fighter jets than any country in East and central Africa including Nigeria

Laikipia airbase is the largest military airbase in East and central africa

In a war 1 tanzanian made build in 1960s will have to deal with 3-4 kenyan tanks build in early 2000s

Kenyas Jets take 45mins from easleigh airbase in Nairobi to bomb areas in somalia and back to tanzania it will take 30mins to dodoma and back hamtapenda !!!
 
Just try Kenya and see CCM inawachocha waTZ na tuvifaa tudogo mnaona aaaah tuko mbali ....hamko karibu!!!

Kenya has 3-4 times the number of tanks tanzania has!!

Kenya has more fighter jets than any country in East and central Africa including Nigeria

Laikipia airbase is the largest military airbase in East and central africa

In a war 1 tanzanian made build in 1960s will have to deal with 3-4 kenyan tanks build in early 2000s

Kenyas Jets take 45mins from easleigh airbase in Nairobi to bomb areas in somalia and back to tanzania it will take 30mins to dodoma and back hamtapenda !!!
 
Kwikwikwi ngoja sasa tunakuja. Kwaajiri ya kutungua ndege na kusafisha mitaa.
M3.jpg

M2.jpg
M1.jpg
News of the day  Chinese Tanzania showed off its Norinco Type 59G MBT (4).jpg
 
NAIROBI: Since Al Shabaab militants kidnapped two tourists in Lamu and killed another in October 2011, Kenya’s military expenditure has ballooned.
The country is now the seventh-largest spender across all of Africa.
And since 2005, Kenya has spent a cumulative $8.8 billion (Sh884billion) on military hardware and operations, making it the fifth-highest spender in sub-Saharan Africa, which excludes North African nations.
Recent data from the Stockholm International Peace Research Institute (SIPRI) indicates that Kenya has beefed up resource allocations to its military, with the largest spikes recorded in the last five years.
These findings come just as the country prepares to mark three years tomorrow since men armed with assault rifles and grenades stormed the Westgate shopping mall in Nairobi.
What was first thought to be a robbery turned into a four-day stand-off between the men, later identified as Al Shabaab militants, and Kenya’s police and military forces.
At the end of it, more than 60 people were killed, dozens injured, and the mall was reduced to a bullet-riddled, smoldering shell that was boarded up for two years. It reopened last July, and has since got back to 100 per cent occupancy.

Terrorist attacks
With more than Sh7.8 billion worth of property destroyed, the Financial Times placed the Westgate siege among the top 20 most expensive terrorist attacks from an insurance perspective.

The Somali militant group said its members staged the attack to protest the presence of Kenya’s army in Somalia.
In October 2011, former President Mwai Kibaki announced that the Kenya Defence Forces (KDF) had launched an operation in Somalia to pursue suspected Al Shabaab terrorists, following the attacks on tourists in the resort town of Lamu

The following year, Kenya’s military spend jumped 12 per cent, from Sh80 billion to Sh90 billion – the largest spike since 1992.
Since then, Kenya’s military expenditure has continued to rise, with recent data indicating a 22 per cent year-on-year increase between 2014 and 2015.
This response to the threat of terrorism has now raised concern, with economists cautioning that the country could be sacrificing long-term economic growth by spending scarce resources on stockpiling the military.
But this might not be the easiest news to digest, particularly as Al Shabaab militants continue to attack Kenyan soldiers and raid Somalia’s government forces close to the Kenyan border.

Further, increased military expenditure in developing countries has been associated with improved education and discipline of the labour forces.
It also improves national security, which encourages private investment and growth.
Negative impact
However, these benefits are not always realised, as military units in many developing countries often operate almost in autonomy to the rest of the economy, with specialised procurement and tendering channels.
According to a joint study by the World Bank and the International Monetary Fund (IMF), titled Military Spending Cuts and Economic Growth, an increase in military expenditure could have a dampening effect on a country’s growth.
This means that economic trade-offs from the acquisition of military resources benefit only a handful of weapon manufacturers, and government and military officials, creating a military industrial complex.
Researchers at the World Bank and IMF further argue that a rise in military spending exerts a negative impact on the rate of investment in public and private productive fixed capital.

“Due to revenue shortfalls and spending pressures from security interventions in Somalia and salary awards, the Budget deficit in the revised Budget is not expected to reduce in the current financial year,” he told the House.
Mr Githae added that Operation Linda Nchi, the Somalia intervention, was a “one-off” expenditure item, and one that was necessary to improve the country’s economic fortunes in the long term.
“Most of these expenditures are necessary for long-term economic growth in light of the changing economic conditions,” he said.

Some other nation spent 2bn$ since 2005 and wants to comoare it self with kenya


Mtashangaaa mtuchokoze kidogo ndio mpate huduma!!
I don't think all that money has been spent wisely...1/2 of it ends up in being eaten by the generals...Look at the current top general MWATHETHE and the one before him KARANGI..They look pregnant.Same thing goes to Nigeria, look how ill equipped their military is.I would like to see new fighter jets like f-16s.The f-5s are like 60 yrs old and they should be used as trainer jets .The PUMA COPTERS look like toys that can be shot down with a stone.We only have like 3-5 copters that are truly modern and one of them crashed at the on set of operation linda nchi
 
Juakali1980 well juzi tumepita LCD tuko middle income LCD countries huwa na all but arms trade embagos yaani waeza nunua anything but arms in large amount kenya na nigeria toka 2013 zimepita hyo threshold sasa tunaunda wajir base na laikipia inapata upgrde within no time tutakuwa na f-16 si juzi wamesema pilots wa kdf walipelekwa training israel na usa so by 2020 we will have like 10maybe
 
Back
Top Bottom