Blender
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 4,870
- 8,035
Wana JF members Kuna siri gani inayofichwa mpaka kocha Gamond kufukuzwa kihuni na wahuni wa mjini.
1 .Je issues ni kuruhusu wachezaji kufanya mambo ya kijinga mpaka kulishwa visivyolishwa.
2. Je wachezaji wa club ya Yanga wanatumia dawa za kututumua misuli waingipo uwanjan.
Ushahidi wanao Azam wameushikilia ,
3. Je issue ni Zile supu wanazo bugia , zimebainika ni vibudu hivyo zimewaletea utapia mloo.
4. Timu na uongozi wa Yanga wanaonekana kwenye CCTV clips wakimwaga ungaunga kwenye uwanja wa Azam complex, Yan wanafanya ushirikina, ulozi
Yan Azam Sasa ivi ni niguse ninuke,
Yan iko ivi siri za Yanga na michezo michafu wanazofanyaga, Azam wamezipata zote na wana evidence itakayodumu to infinite .
Yan huko Yanga Kuna hofu kuu na sintofahamu. GENTAMYCINE
Yanga kuwa bingwa msimu huu ndio basi Tena,
Kwako msomaji una maoni gani, na kipi una shauri, kujua, comments
1 .Je issues ni kuruhusu wachezaji kufanya mambo ya kijinga mpaka kulishwa visivyolishwa.
2. Je wachezaji wa club ya Yanga wanatumia dawa za kututumua misuli waingipo uwanjan.
Ushahidi wanao Azam wameushikilia ,
3. Je issue ni Zile supu wanazo bugia , zimebainika ni vibudu hivyo zimewaletea utapia mloo.
4. Timu na uongozi wa Yanga wanaonekana kwenye CCTV clips wakimwaga ungaunga kwenye uwanja wa Azam complex, Yan wanafanya ushirikina, ulozi
Yan Azam Sasa ivi ni niguse ninuke,
Yan iko ivi siri za Yanga na michezo michafu wanazofanyaga, Azam wamezipata zote na wana evidence itakayodumu to infinite .
Yan huko Yanga Kuna hofu kuu na sintofahamu. GENTAMYCINE
Yanga kuwa bingwa msimu huu ndio basi Tena,
Kwako msomaji una maoni gani, na kipi una shauri, kujua, comments