SINEMA: Hili tukio lilikuwa na maana gani, hapo kwa Nabii Geo Dave?

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
📍Kisongo - Arusha.

Jamaa ana kaulu yake flani hivi anakwambia faidi vinono vya duniani kwanza kabla hujaiona mbingu.

Your browser is not able to display this video.

Hapo kwenye kipande cha sinema kuna mabinti itakuwa warembo hao, wanapita mbele ya kadamnasi wakinesa kama kwenye majukwaa ya mamiss.

Yule mwamba kakaa mbele mwenyewe anapita binti mmoja baada ya mwingine karibu yake nk, hilo tukio alikuwa anawafundisha nini hao wanaokwenda kwa hema lake au sisi tunaopanga kwenda hapo?.
 
Akili kubwa husimamia akili zilizo mfu/ndogo
 


Huyo jamaa ni muhuni wa kawaida
 
Si amekwambia mwenyewe maisha ni haya na uyafaidi (ingawa inategemea maana ya neno faidi na kufaidi ni subjective) binafsi ninaungana na kauli yake na hio ndio motto yangu

To each his/her own...

So long as ufaidikaji wako haumuumizi jirani yako (quid pro qou) mfano kama na hao mabinti nao wanafaidi ni jambo jema sana kila mtu akifaidi atakuwa na furaha hence jamii yenye furaha na iliyolidhika....

Hayo mengine ya sijui mbingu, moto n.k. ni wewe au mtu binafsi na imani yake (so long as haushinikizwi kwenda) au kama wewe kushinikiza watu wasiende hapa bali waende kule..., nadhani all is Kosher....
 
Watu wana macho lakini hawaoni
Watu wana masikio lakini hawasikii
 
Ila kanisani kwake kwanza huo uvaaji acha kabisa, inahitajika Sala kubwa sana ikiwa Hemani kwake
 
Ila kanisani kwake kwanza huo uvaaji acha kabisa, inahitajika Sala kubwa sana ikiwa Hemani kwake
Kwanini sala ? Huenda ibada ni kupeana good time; kwa imani yako kama mavazi hayafai na unaamini katika hizi dini kubwa mbili basi Mungu angeumba mavazi kabla ya binadamu (au kina adam na eva, hawa au hata masanja na siwema - vyovyote utakavyowaita) walikuwa wamevaa mavazi gani ?

To each their own
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…